Wanazuoni Nina maswali mawili.
1: Mtu akimtaliki mkewe halafu baadae yule mtu akafariki, je yule mwanamke ataitwa mjane??
2; Mwanamke alietalikiwa halafu akaolewa na mume mwingine , je huyu ataitwa mjane iwapo mumewe wa kwanza amefariki baada ya kuachana na kuolewa tena??
Mnijibu kwa Uhuru kwa sheria yoyote iwe ya kidini au kimila au kiserikali..