Kupima ili kuijua status yako haijalishi umeoa au kapera. Hata hivyo mlio katika ndoa mnatakiwa kutest HIV-AIDS mara kwa mara kwani mpo kwenye risk group ambalo kuambukizwa ni rahisi na hii inatokana na wanandoa kujiamini na kupuuzia kuzikwepa njia za maambukizi ili hali wengi wao wakiwa si waaminifu.
Njia za maambukizi si kujamiiana peke yake zipo nyingi ambazo wengi hamjazishitukia bado kama; kushea vikata kucha vya wapaka rangi za kucha mtaani, vitana salon, kujazana kwenye madaladala na kugusana flesh by flesh na nyingine jazia. So, kupima ni muhimu.