Swali kwa wanasheria wote kuhusu mahakama ya kazi na mgomo wa madaktari

Swali kwa wanasheria wote kuhusu mahakama ya kazi na mgomo wa madaktari

SirBonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
378
Reaction score
435
Wandugu, je mahakama ya kazi nini majukumu yake hasa? ni kusuluhisha tu migogoro ya kazi au inaweza kushitaki?? Je hili la mahakama ya kazi kuwaamuru chama cha madaktari kusitisha mgomo wakati sio MAT walioitisha mgomo limekaaje kisheria??
Tunaomba mtusaidie mnaojua sheria maana sisi wananchi tunaona kama serikali imeiingiza Chaka mahakama katika hili, na ni ujanja ili lisiendelee kuopngelewa popote Bungeni au kwenye vyombo vya habari kwa kisingizio kwamba liko mahakamani!
 
Hakuna sheria bongo ni danganya toto tu, sheria gani zinazong'ata watu wa hali ya chini tu huku wa hali ya juu wakitamba!?
 
Back
Top Bottom