Swali kwa wanasimba

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Naomba nilielekeze swali hili kwa viongozi, wanachama, wapenzi, wakereketwa, wafiatimu, mashabiki wa Simba Sports Club.

Mmejipangaje na shirikisho msimu huu.

Hivi mnajua kuna kutolewa kwenye mashindano hayo.

Mtaliambia nini taifa siku yakiwakuta ya wana lambalamba na wagosi wa kaya.

Sioni muelekeo wenu wa maana kwenye michuano hii zaidi ya kumbwela mbwela tu.

Mjitathmini sana.
 
Wacha watolewe tu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Kufa Kiume SC.
 
Tuliimiss sana hii mwn.
 
Simba imeshafuzu, kwa sababu Kwa Mkapa Huwa hatoki Mtu
 
πŸ’©
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…