Vituka JF-Expert Member Joined Nov 9, 2011 Posts 2,266 Reaction score 1,264 Jan 19, 2012 #21 Ngekewa said: Ile kuwa ni mwanamke basi! Click to expand... Duh, we noma!Hata kama kichaa!
HorsePower JF-Expert Member Joined Aug 22, 2008 Posts 3,612 Reaction score 2,567 Jan 19, 2012 #22 Uwezo wake wa kufikiri na kuchambua mambo, pamoja na tabia yake njema. Hivyo kwangu vinanitosha.:eyebrows:
Uwezo wake wa kufikiri na kuchambua mambo, pamoja na tabia yake njema. Hivyo kwangu vinanitosha.:eyebrows:
M mitishamba JF-Expert Member Joined Dec 21, 2011 Posts 697 Reaction score 111 Jan 19, 2012 #24 Ndokeji said: Hamjambo wana jf swali. Vitu gani vinavyokuvutia kwa mwanamke mpaka ukampenda ? Click to expand... masaburi
Ndokeji said: Hamjambo wana jf swali. Vitu gani vinavyokuvutia kwa mwanamke mpaka ukampenda ? Click to expand... masaburi
M masewa Member Joined Jan 16, 2012 Posts 35 Reaction score 4 Jan 19, 2012 #25 ujue swali lako ni pana sana mana asikwambie mtu mwanamke wa kuoa ana vigezo vyake na wakumega ana vigezo vyake sijui ww unazungumzia yupi?
ujue swali lako ni pana sana mana asikwambie mtu mwanamke wa kuoa ana vigezo vyake na wakumega ana vigezo vyake sijui ww unazungumzia yupi?
njiwa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2009 Posts 13,144 Reaction score 6,942 Jan 19, 2012 #26 Ndokeji said: Hamjambo wana jf swali. Vitu gani vinavyokuvutia kwa mwanamke mpaka ukampenda ? Click to expand... Tabia yake .... Asiwe mcharuko kila m.me anamjuwa yeye.. sura muhimu ... White kimtondo ... Asiwe na masaburi makubwa au matiti makubwa .. French figure kimtindo
Ndokeji said: Hamjambo wana jf swali. Vitu gani vinavyokuvutia kwa mwanamke mpaka ukampenda ? Click to expand... Tabia yake .... Asiwe mcharuko kila m.me anamjuwa yeye.. sura muhimu ... White kimtondo ... Asiwe na masaburi makubwa au matiti makubwa .. French figure kimtindo
M mzighani Senior Member Joined Apr 11, 2011 Posts 109 Reaction score 9 Jan 19, 2012 #27 tabia yake na maumbile ya wastani na sio baunsa.
S SI RIZKI Member Joined Jan 19, 2012 Posts 20 Reaction score 2 Jan 19, 2012 #28 anae jua kuchat fb na JF