Swali kwa wanaume...

Let's not go around the bush, watu don't admit the truth, thamani ya kondoo mkia, wengi wanafanya sana & cha ajabu kwa maneno ongea na wadada/wamama wote watasema hawafanyi, but ukiwa na mmoja wao kitandani
doggie style, angalia tigo utajua ukweli not words au fanya kama
Umekosea mlango atanyamaza au atakataa au use kidole
Kirefu cha kati kupima elasticity/ tightness akiwa kimya au
Anafurahia ujue analiwa, cjui niseme vp ila with
My experienced sex eagle eye man nagundua
quick. Salam sana Maria R.
 
Pole sana. Kwa kweli hiyo tabia imeenea sana siku hizi na chanzo kikubwa ni hii mitandao picha nyingi sana zinaonyesha mambo hayo. Jambo la msingi ni kueleza madhara ya kiafya yanayosababishwa na hilo tendo. Ni vyema kumueleza mwenzako kuwa tendo hilo lina madhara makubwa haswa kwa wanawake hivyo sio vizuri kabisa kulifanya. Pia vile vile wale wanaoonekana wanafanya kwenye picha za ngono ni Malaya (makahaba) sio wake za watu na vile vile wana uwezo mkubwa wa kujitibu pindi wapatapo magonjwa.
 
tiGO, chumvi, koni n.k hiyo ni michezo ya kigeni...kuna starehe kuifanya lakini na machafuko yapo kiroho na kimwili.
 

wanawake wengi ni wanafiki, kwenye maongezi watakwambia ni uchafu, dhambi, magonjwa n.k ila in reality wanafanywa sana nyuma na wanafurahia. wengine ukipeleka kidole wanazuga kukataa lakn ukistua zaid wanafurahia na kusema tamu.....
 
POLE SANA, kwa huyo uliyenaye kuonesha dalili za kutaka tigo.
KATAA KABISA USIMPE TIGO,NA MAANISHA KWELI KWAMBA HUTAKI ,HUPENDI KABISA. HUYO ANATAKA KUIGA MAMBO MACHAFU NA YA HATARI KWA AFYA YENU WOTE WAWILI.
PIA MWELIMISHE JUU YA MADHARA YA KUTUMIA TIGO.
NDOA AY MAPENZI HAYADUMISHWI KWA TIGO, MSIMKARIBISHE SHETANI KTK MAHUSIANO YENU.

POLE SANA KWA HAYO MAJARIBU YA MWENZI WAKO.
 
wanawake wengi ni wanafiki, kwenye maongezi watakwambia ni uchafu, dhambi, magonjwa n.k ila in reality wanafanywa sana nyuma na wanafurahia. Wengine ukipeleka kidole wanazuga kukataa lakn ukistua zaid wanafurahia na kusema tamu.....



kwa maelezo yako hapo juu nahisi kama ni mwanachama wa wala tigo,
umejuaje kama wanafurahia??,
knn unapeleka kidole huko??,
hakuna njia nyingine ya kumfurahisha huyo mwenza wako??

nakuomba ndugu yangu ktk jf ,achana na huo mchezo siyo mzuri mbele za mungu,afya yako pamoja na huyo mwenza wako.

haujachelewa sana bado unaweza kuacha, pole sana.
 

Dah!! simama kwa bwana na umwambie lililo hitaji lako nae atakufanyia njia .
Hivi inakuwaje kwa mtu uliyemchagua uishi nae katika maisha yako yote unathubutu kumuomba kitu ambacho unaona kabisa ni udharirishaji unafanya kwake hivi ndani ya mioyo yetu tunawachukuliaje?Au thamani ya uhusiano hutofautiana kati ya watu na watu?
Wadada na wamama na nyinyi kuweni imara mkilegeza vi msimamo vyenu hakuna rangi mtaacha ona ni kifiro kwenda usa.
 
Ukipenda mpe,lakini kama hupendi usjilazimishe,Kama ni mumeo muulize tabia hiyo kaanza lini? Na Kama ni Bf ujue utakuchezea na kesho atakutangaza kwa wenzake kwamba wewe ni mtoa Tigo,ila uwe makini kama ni mumeo na huo mchezo kauanza siku nyingi ujue atakwenda mitaani ambako huko ni jambo la kawaida kabisa,wapo wanawake ambao ndio biashara zao hizo usifikiri ukimnyima ndio umemkomesha atatafuta kwingine.Pole Bibie!
 
Kunako tigo hakutakiwi hata kufikiriwa acha kuchezewa.Acheni kabisa waungwana.Lakini siwahukumu watumiaji wa togo aka o
 
hizi dini za watu wa mido east zisituchanganye. Ingekua hairuhusiwi mungu angeweka tundu dogo kama la sikio au pua, au angeondoa utamu. Achaneni na dini za wakoloni.
 
Jaman imekatazwa kwenye vitabu.Ni kinyume na mapenzi ya Mungu.Mbona wanyama wasio na utashi hawakosei matumizi ya maumbile yao.
 


caroline sasa kila mtu akimkimbia huyu mpenda tigo, huu mzigo mzito alionao wa dhambi nani atamsaidia kumtua,
kumbuka hata vitabu vya dini vinasema kuwa Yesu alikuja kwaajili ya watu walioelemewa na mizigo ili awasaidie kutua,
Huyo bibie amvumilie tu kwakuwa ni mumewe na aendelee kumwombea kwa mungu
hilo shetani limwepuke!
 

Hili nalo neno!!!!!!!!!
 
wanawake wengi ni wanafiki, kwenye maongezi watakwambia ni uchafu, dhambi, magonjwa n.k ila in reality wanafanywa sana nyuma na wanafurahia. wengine ukipeleka kidole wanazuga kukataa lakn ukistua zaid wanafurahia na kusema tamu.....

itnojec, najaribu kusoma katikati ya mistari,
Kuna uzito fulani katika wazo lako hapa,
anyway, ngoja nizidi kutafakari!
 

du, skills za kumwaga!
kazi ipo!!!!!!!
 

yaonyesha wewe ni muumini wa hiyo tigo,acha kabisa mbona mbwa hawakosei,usipende kumrekebisha Mungu katika uumbaji wake.acha kijana usidanganyike na mapicha ukagenerise.
 

tupe aya
 
Mpe tu yeye mwenyewe ndio atajuwa kama ni nzuri au mbaya....

N.B Hapa huwezi kupata jibu, hamna hata mmoja atakayesema anatumia au ametumiwa so nadhani hapa majibu utayopata yote ni NO wote wanaongelea pembeni........
 
Mungu akubariki sana!
Samahani kwa kuchelewa kukushukuru, mimi huwa si mchangiaji sana hapa ingawa ni msomaji mzuri tu, Ni tamaa tu zinazowafanya watu wadhani kuwa satisfactory iko kinyume cha maumbile ingawa hata baada ya hayo yote hawaridhiki! Dhambi huzaa mauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…