Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Hili swali nimewauliza hasa hasa wadada wa humu watoe their honest opinions, ila hata wanaume wa humu mnaweza kujibu,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa wadada wanakua na thamani kwenye macho ya wanaume kuanzia miaka 17, thamani yao inakua kwenye peak kati ya miaka 18-23 (kwenye hiki kipindi wanaume wengi sana wanawatongoza), kuanzia miaka 28 thamani ya mwanamke kwenye soko inashuka taratibu akifikia miaka 30+ idadi ya wanaume wanaomtongoza na wenye nia ya kumuoa inapungua.

Tuje kwenye sexual market value ya mwanaume, kwa mimi binafsi nahisi mwanaume pia soko lake linaanza kuwa kubwa akianza balehe, akifikia miaka 30 na kuendelea, uso wake unaanza zeeka, hivyo chances za kuoa mdada mwenye miaka 22 zinapungua, labda awe vizuri kiuchumi. Ila kama mwanaume ana miaka 35 hawezi kukubaliwa na mdada wa miaka 22 coz mdada ataona huyu mkubwa sana kwangu, umri wote alikua wapi hajaoa, uso wa mwanaume umeanza kuchoka/kuzeeka, hivyo inabidi mwanaume atumie pesa ili amshawishi mdada.

Nafikiri mwanaume ukiwa na miaka 18-25 unaweza kuoa kirahisi hata kama huna pesa, huna hela wala kazi rasmi ila unamchukua mdada unamzalisha, mnaanza kuishi ile life ya sogea tukae huku mnaunga unga maisha, ila ukiwa na miaka 35 halafu bado kiuchumi uko hoi, itakua ni ngumu zaidi kwako kufanya hivyo. The only way mwanaume utaweza oa mdada wa miaka 22, ukiwa na miaka 36 ni mpaka uwe vizuri kiuchumi

Au my sisters wa jf mnasemaje Labella To yeye Missy Gf Evelyn Salt Heaven Sent Donatila financial services Midekoo Numbisa Lamomy NAKWEDE
 
Kwamba mwanaume wa miaka 35 hawezi kukubaliwa na binti wa miaka 22?
Unaishi dunia gani mkuu?
Watu wako kwenye 40+ na wanakula vitoto vimezaliwa 2003, wengine mpaka wanaoa.

Mwezetu sijajua uko wapi
 
Never date mwanaume WA miaka 45 na kuendelea .tena ukute kaachika
Labda mkewe awe alikufa
Au awe na hela kabisaa.ila kama anajitafuta kimbia
 
Kwamba mwanaume wa miaka 35 hawezi kukubaliwa na binti wa miaka 22?
Unaishi dunia gani mkuu?
Watu wako kwenye 40+ na wanakula vitoto vimezaliwa 2003, wengine mpaka wanaoa.

Mwezetu sijajua uko wapi
Uwe na Hela mkuu kama huna jambo unakuwa umechoka sana kimaisha hakuna pisi itakukubali labda utumike ushirikina
 
Umesoma mkuu au umekimbilia comment tu?
Vyovyote vile uwe kijana au mzee lazima uwe na hela! Vijana wanajizima data na kutengeneza sijui sixpack, sijui mlegezo, sijui kujua kuimba/kutongoza/swagga, nk, hizo zote haziwezi kuwa mbadala wa hela. Kumudu familia lazima uwe na hela! Zamani vijana walikuwa wanaozeshwa na baba zao na kupewa nguvu za kiuchumi! Siku hizi haipo tena ndo maana nafasi ya vijana kuoa ni ndogo kwasababu hamna hela!
 
Kwa wanaume hamna kikomo, umri wowote unaoa vizuri tu, changamoto ni kwetu wadada najiona kabisa nikizeeka...😀 na ukisema tu uko 3rd floor watu wanakuona kama bibi kabisa
Umesoma thread yangu vizuri, kibaiolojia kweli wanaume hatuna kikomo, babu wa miaka 60 anaweza mpa mimba binti, mm nazungumzia kisosholojia, Rudi tena soma thread yangu vizuri financial services
 
Back
Top Bottom