Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Punguza upumbavu kijana.
Mpe jibu mlevi mwenzetu.
Mie na pombe wapi na wapi?Mpe jibu mlevi mwenzetu.
Sina jibu la direct lakn nahisi ni kampani tu na vibes,,,, ! Kula/kunywa sehemu moja tu unazoeleka hovyo na watu/wahusika wa hapo unapoenda daily!Kwanini Walevi huwa mnahama hama kwenye Mabaa, yani unakuta leo unakunywa baa hii after a while upo Baa nyengine.
sababu huwa ni nini?
Kila mywaji ni KACHEROKwanini Walevi huwa mnahama hama kwenye Mabaa, yani unakuta leo unakunywa baa hii after a while upo Baa nyengine.
sababu huwa ni nini?
Full stopLengo kwa kwenda Bar sio Pombe peke yake! Maana kama ni Pombe hata nyumbani tunaweza kulewea... tunatafuta magoma na Vibe!
Mimi ni mnywajiKuna wanywaji na walevi
Mimi na prefer wanywaji nachukia walevi
[emoji4][emoji4][emoji28][emoji28]
Lengo nikuona warembo au kuchakata mbususu za ma barmaid ni ujasir sana kupiga paipu Malaya wa barWarembo kaka , na vibe la sehemu mpya asikudanganye mtu bar yenye warembo wakali nitawatembelea daily mpaka mnichoke nyie
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Madeni! Mnywa pombe lazima ukope pombe kadhaa! Sasa ukipata hela alafu eti unaenda kulipa deni daaah!!!??? Bora uamie Baa nyingine uweke heshimaKwanini Walevi huwa mnahama hama kwenye Mabaa, yani unakuta leo unakunywa baa hii after a while upo Baa nyengine.
sababu huwa ni nini?
Mkuu mwanamke yoyote anaweza kuwa malaya haijalishi mazingira yake ya kazi. Umalaya ni hulka ya mtu sio kazi yakeLengo nikuona warembo au kuchakata mbususu za ma barmaid ni ujasir sana kupiga paipu Malaya wa bar
Ila ukilewa unatoka kwenda sebuleni ukiwa unayumba kinomaTangu nikoswe koswe na chupa siendi tena bar,nanunua bia zangu najifungia zangu chumba pekee yangu watoto wasinione nazichapa
Kiukweli mimi ni kuwaangalia na aliyenena zaidi basi anapitishwa rasmi kunichunguliaLengo nikuona warembo au kuchakata mbususu za ma barmaid ni ujasir sana kupiga paipu Malaya wa bar