Swali kwa Wanywaji (Walevi)

Kwanini Walevi huwa mnahama hama kwenye Mabaa, yani unakuta leo unakunywa baa hii after a while upo Baa nyengine.

sababu huwa ni nini?
Sina jibu la direct lakn nahisi ni kampani tu na vibes,,,, ! Kula/kunywa sehemu moja tu unazoeleka hovyo na watu/wahusika wa hapo unapoenda daily!

Pia kubadili mazingira n.k !

Kwa wazee wa Totoz wanakuambia kuwa wanaenda kuosha macho ,,,,

Hushangai chimbo jipya huwa linajaza sana ? Hizo sababu hapo juu zinatanabaisha
 
Tangu nikoswe koswe na chupa siendi tena bar,nanunua bia zangu najifungia zangu chumba pekee yangu watoto wasinione nazichapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…