Swali kwa wataalamu wa mambo ya anga kuhusu mwezi

Swali kwa wataalamu wa mambo ya anga kuhusu mwezi

wilcoxon

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2017
Posts
1,142
Reaction score
2,947
Habari za majukumu wanajamvi? Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika. Naomba ufafanuzi wa maswali mawili kuhusu mwezi.

1. Kwanini huu mwezi ambao ni duara kuna kipindi huwa unaonekana nusu duara?

2. Kuna nyakati huu mwezi huwa unabadirika mwenekano wa ukubwa na rangi, mara nyingi unapokuwa mashariki huwa unaonekana ni mkubwa na rangi yake inakuwa kama vile njano fulani hivi, swali nini kinasababisha yote hayo?
 
bongo kuna wataalamu?? watakudanganya tu ma anaejua APA mkuu trust me
 
Supermoon pale mwezi unapotoka mpya na kuwa karibu na DUNIA huonekana mkubwa
 
Mwezi huonekana nusu wakati mwingine kwa sababu ya kivuli cha dunia kufunika eneo lililobaki
 
dah ndugu zangu ebu fikilini kdg mwezi ni duara unataka uuone mzima mzima unawezaje kuona kitu cha duara kizima tena chenye ukubwa sawa na dunia uliomo kitu cha duara siku zote huone upande unao uangalia lazima uone kikiwa nusu uwezi tazama duara yote kwa ukubwa wake ulio sahihi km unatumia macho yako wew binadamu kutazama
 
dah ndugu zangu ebu fikilini kdg mwezi ni duara unataka uuone mzima mzima unawezaje kuona kitu cha duara kizima tena chenye ukubwa sawa na dunia uliomo kitu cha duara siku zote huone upande unao uangalia lazima uone kikiwa nusu uwezi tazama duara yote kwa ukubwa wake ulio sahihi km unatumia macho yako wew binadamu kutazama
Lakini mkuu kuna wakati huwa tunaiona duara yote ya mwezi
 
Mwezi huonekana nusu wakati mwingine kwa sababu ya kivuli cha dunia kufunika eneo lililobaki
Lakini Mkuu kuna sehemu nimesoma ukubwa wa mwezi ni 27% ya ukubwa wa dunia yani kwa lugha nyingine unahitaji miezi minne ili kufikia ukubwa wa dunia, swali sasa kwanini kivuli cha dunia kinapofunika mwezi huwa tunaona nusu kwanini isiwe pungufu ya hiyo nusu maana kwa ukubwa dunia ni kubwa kuliko mwezi na maelezo ya hayo kivuli yangekuwa na mantiki kama dunia na mwezi vingekuwa na ukubwa sawa
 
Majibu ya maswali yote yapo Google mkuu. Kama tatizo ni lugha kuna Google translate ni msaada tosha. Huko ndiko kuna wataalamu wa anga yaani NASA wanaweza kukupa majibu ya uhakika ya maswali yako.
 
dah ndugu zangu ebu fikilini kdg mwezi ni duara unataka uuone mzima mzima unawezaje kuona kitu cha duara kizima tena chenye ukubwa sawa na dunia uliomo kitu cha duara siku zote huone upande unao uangalia lazima uone kikiwa nusu uwezi tazama duara yote kwa ukubwa wake ulio sahihi km unatumia macho yako wew binadamu kutazama
Kwahyo mwezi ni duara jua ni mviringo?
 
Majibu ya maswali yote yapo Google mkuu. Kama tatizo ni lugha kuna Google translate ni msaada tosha. Huko ndiko kuna wataalamu wa anga yaani NASA wanaweza kukupa majibu ya uhakika ya maswali yako.
Neno
 
Kwahyo mkuu wewe hata Jiografia ya darasa la sita kama hukufika fomu one imekupita kushoto?
 
Back
Top Bottom