Kuna mdau anauliza ikitokea mkandarasi alisaini mkataba wa kujenga kilomita 50 za lami labda kutoka Njombe kwenda Ludewa baada ya kufika site anaona mbona kuna njia ya mkato naweza kupunguza kilometa kutoka 50 hadi 48 au 49 na nitaserve almost 3bil.Je hapo serikali itakuwa imelipa kilomita 49 au 50 na ikiwa kilomita zimepungua kwa kuchepusha barabara eneo tofauti na eneo la mradi alilokabidhiwa ni sawa kubaki na mkataba wa awali wa kilomita 50 au kunahitajika adjustment kwenye mkataba?Na ikitokea mkandarasi na watumishi wa serikali wameificha serikali uhalisia wa kupungua kwa hizo kilomita haliwezi kuwa ni kukiuka maadili?