Swali kwa wote, hivi unaweza kuwa na rafiki wa karibu na mume wa mtu au mke wa mtu bila kuwanaye kwenye mahusiano ya kimapenzi?

Nahisi baada ya urafiki ni mazoea na baada ya mazoea hisia zina take place then kifwatacho.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…