Tanzania nzima wananchi wanapigwa na polisi, mabomu, virungu, risasi etc.
Haya yote ili kulazimisha wewe na familia yako muendelee kuitawala na kuifilisi nchi yetu.
Swali dogo kwako, Utaua wangapi mwaka huu?
Swali la nyongenza, baada ya miaka mitano utaishi wapi?
Haya yote ili kulazimisha wewe na familia yako muendelee kuitawala na kuifilisi nchi yetu.
Swali dogo kwako, Utaua wangapi mwaka huu?
Swali la nyongenza, baada ya miaka mitano utaishi wapi?