SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Wanaume wa dar waoga kweli vita yao na makonda wanaigeuza kijanja iwe ya nchi nzima aiseee mwanaume mmoja wa mkoani wanashindwa kumng'oa mpaka wanaomba msaada kwa ka mwanamke ka kipare kasiko hata na jeuri ya kurudi nchini.
Hahahaha..huu ni utani mkuu.

Sidhani kama ni sababu ya uwoga.
 
Tumeanza kuamka sasa wanaume wa dar... Mnasemaje nyie mijibwa ya mikoani..... Mkija huku mnatutilia aibu sana.chakula cha familia nzima wewe peke yako unafuta. . Hata mjipendekeze vipi hatuwakaribishi...mkija mnakera sana. Eti nipeleke uwanja wa Taifa ooh Mara baharini, Mara daraja lilijengwa baharini daaah tunawachoka kweli mkija huku..... Sisi tukija huko Dada zenu hata hatutongozi.wakijua tuu wa dar hahaaaaa mpk unawakimbia eti nyinyi mnanuka vikwapa halafu mnawasugua kama mnapiga mswaki... Kumbe wenzenu tunabembelaza... Kushikanashikana tuu ni masaa mawili bado mchezo wenyewe.nyie kulima tuu kama mang'ombe.... Viazi mnalima nyie cc tunavitengeza halafu mkija tunawapiga bei za maana... Wanaume wa mikoani mtaendelea kuwa wamikoani tuu... Na mtaendelea kuwa washamba tuu... Na sasa hivi mkitaka kuja huku mtakuwa mnalipia kwanza pale chalinze mnakuja mnatumalizia hewa tuu
 
Wanaume wanapojiremba kupita kiasi ina maana gani?
 
Haya naona bush stars leo uwanja wenu mnataamba tu.najua huwa mnamaind tukija huko mikoani dada zenu wanavyotupapatikia.
 
Wanaume wa mikoani mmeaitana kutoa mashambuliz

Sema nini mkija tutawatoa ushamba wenu na sisi tukija huko tutawagongea dada zenu
 
Haa! Haa! Mwanaume wa Dar atume m-pesa? Ndo hao wanaoongoza kwa kusema njoo uchukue.
Sasa unamtumia mtu hela service chaji mpaka alfu tano au kumi,sasa sibora achukue bodaboda au uber aje aifuate tu na tuweze kuonana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…