Punguza jazba elewa nilichoandika, nimesema kuna comment katika thread flansasa kama kuna thread imeanzishwa kuhusu same topic kwa nini usiende kuchangia huko badala ya ku duplicate uzi mnatuchosha afu mnajaza servers za watu.
Waliyozaliwa Dar na waliyoishi Dar kwa Muda mrefu!Namimi nilitaka kuuliza kuwa Wanaume wa Dar hasa ni wapi? Au waliozaliwa Dsm tu?
Exposure ya umariyoooo?au ya kula chips bloiler?au kupaka poda?Mpate exposure
[emoji15] [emoji15]Na saloni za kike wanaendanao
Tatizo la kumaliza mapema ni la mtu binafsi,mbona Kuna wanaume wa mikoani Wana wahi kumaliza mechi mapema,na siyo Wanaume wote wa Dar Wana hayo matatizo...Mkuu my point is,wanaume wa dar dk mbili tu wazungu wanachoropoka
wewe kwanza uko mkoa gani kwa mfano?Punguza jazba elewa nilichoandika, nimesema kuna comment katika thread flan
Hiyo thread ni ile ya kumsifia Mange kuwa ni Hero/Heroine
Sasa kweli Mange (Mwanamke) awe bora kuliko wanaume Mil. 1 wa Dsm? Kweli?
Kumbe ni Ukweli kabisa MkuuNaomba jamani ndugu zetu wa mikoani msituunganishe kwenye kundi moja na waliozaliwa hapa dar maana wengine tupo dar kikazi tu ila tabia za hawa baadhi ya wenyeji kiukweli zinatutia hofu
Utamgongaje wakati wote mnafanana?Wanaume wa mikoani mmeaitana kutoa mashambuliz
Sema nini mkija tutawatoa ushamba wenu na sisi tukija huko tutawagongea dada zenu