SWALI: Kwanini service ya gari inahesabiwa kilomita, tofauti na injini ya jenereta?

SWALI: Kwanini service ya gari inahesabiwa kilomita, tofauti na injini ya jenereta?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Wataalam wa vyombo vya moto naomba kujulishwa, kwanini wanatumia kuhesabu kilomita ili ufike muda wa kufanyia service chombo cha moto, kwasababu kinachofanyiwa service sehemu ni injini ambayo hubadilishwa oil, air filter, oil filter, fuel filter nk

Sasa mbona injini kama hiyo ambayo imefungwa kwenye jenereta huesabiwa kwa saa ilizozunguka, wakati service yake ni sawa na ya chombo cha moto katika matengezo.

Nionavyo injini ya gari inachakaa mapema kuliko ya jenereta kwasababu muda mwingi gari inazunguka kuliko kutembea, mfano gari za viongozi muda mwingi zipo silencer ili kuwepo ubaridi "air condition" au kwenye mataa inabidi gari lisimame ikumbukwe bado injini inazunguka.
 
JamiiForums-1843996199.jpg
 
Wataalam wa vyombo vya moto naomba kujulishwa, kwanini wanatumia kuhesabu kilomita ili ufike muda wa kufanyia service chombo cha moto, kwasababu kinachofanyiwa service sehemu ni injini ambayo hubadilishwa oil, air filter, oil filter, fuel filter nk

Sasa mbona injini kama hiyo ambayo imefungwa kwenye jenereta huesabiwa kwa saa ilizozunguka, wakati service yake ni sawa na ya chombo cha moto katika matengezo.

Nionavyo injini ya gari inachakaa mapema kuliko ya jenereta kwasababu muda mwingi gari inazunguka kuliko kutembea, mfano gari za viongozi muda mwingi zipo silencer ili kuwepo ubaridi "air condition" au kwenye mataa inabidi gari lisimame ikumbukwe bado injini inazunguka.
Gari ina speedometer inapima umbali na mwendo, haina kipimo cha masaa kuzunguka kama generator. Lakini ukikuta wataalam watakushauri kama manual zinasema fanya service baada ya km5000 unashauriwa ufanye baada ya km4000 kwasababu hata gari ikiwa haitembei kwenye foleni engine inazunguka.
Kwa upande mwingine muda pia unatumika kwenye service ya gari. Ni hivi hata kama umetembea km200 mwaka mzima lazima ufanye service iwapo kipindi cha mwaka kimepita tangu service ya mwisho.
 
Wataalam wa vyombo vya moto naomba kujulishwa, kwanini wanatumia kuhesabu kilomita ili ufike muda wa kufanyia service chombo cha moto, kwasababu kinachofanyiwa service sehemu ni injini ambayo hubadilishwa oil, air filter, oil filter, fuel filter nk

Sasa mbona injini kama hiyo ambayo imefungwa kwenye jenereta huesabiwa kwa saa ilizozunguka, wakati service yake ni sawa na ya chombo cha moto katika matengezo.

Nionavyo injini ya gari inachakaa mapema kuliko ya jenereta kwasababu muda mwingi gari inazunguka kuliko kutembea, mfano gari za viongozi muda mwingi zipo silencer ili kuwepo ubaridi "air condition" au kwenye mataa inabidi gari lisimame ikumbukwe bado injini inazunguka.
Generator linatembea kwa masaa inasomwa saa katika gauge yake....

Gari linatembea kwa distance na inashauriwa kwa hizi gari ndogo kufanya service kila baada ya muda fulani hata kama kilometer hazijafika....
So chochote kitakachotangulia inabidi ufanye service. Either distance or time (miezi).
 
Gari au service inafanyika Kwa kilometers sababu ndio kipimo Cha kuona muda iliyofanya Kazi, Generator na baadhi ya mitambo services imekuwa recommend baada ya masaa Fulani ya kufanya Kazi.

Generator injini Zake zinadumu sababu zinakuwa low stressed kulinganisha na magari. Generator ikisetiwa ifanye Kazi Kwa mzunguko wa injini(RPM) kama ni 1200RPM itakuwa Hiyo Hiyo Kwa masaa yote ya Kazi labda ikiwa inatakiwa iongezeke wataseti kidogo.

Kwa upande wa gari injini Sawa na generator, gari linakuwa stressed sana kulingana na nature ya Kazi, mazingira na dereva. Kuna muda gari inakuwa na mzigo mzito dereva akiendesha gear ndogo uku amekanyaga sana eksileta(Accelerator) injini inakuwa stressed au pale anapoendesha gari Kila mara na kuvuka red line kwenye mshale wa engine.
 
Wataalam wa vyombo vya moto naomba kujulishwa, kwanini wanatumia kuhesabu kilomita ili ufike muda wa kufanyia service chombo cha moto, kwasababu kinachofanyiwa service sehemu ni injini ambayo hubadilishwa oil, air filter, oil filter, fuel filter nk

Sasa mbona injini kama hiyo ambayo imefungwa kwenye jenereta huesabiwa kwa saa ilizozunguka, wakati service yake ni sawa na ya chombo cha moto katika matengezo.

Nionavyo injini ya gari inachakaa mapema kuliko ya jenereta kwasababu muda mwingi gari inazunguka kuliko kutembea, mfano gari za viongozi muda mwingi zipo silencer ili kuwepo ubaridi "air condition" au kwenye mataa inabidi gari lisimame ikumbukwe bado injini inazunguka.
Injini ya gari na injini ya Generator ni sawasawa tu na zote zinahesabiwa kilometa ndio ufanyie service, kama hufanyi hivyo kwenye generator yako basi subiri siku sio nyingi generator ita kufa. AU KWA KIFUPI HUJUI CHOCHOTE UMEKURUPUKA KUULIZA
 
Kama hautajali hapo kwenye RPC angalau kidogo nipateelewa tafadhali....
Gari au service inafanyika Kwa kilometers sababu ndio kipimo Cha kuona muda iliyofanya Kazi, Generator na baadhi ya mitambo services imekuwa recommend baada ya masaa Fulani ya kufanya Kazi.

Generator injini Zake zinadumu sababu zinakuwa low stressed kulinganisha na magari. Generator ikisetiwa ifanye Kazi Kwa mzunguko wa injini(RPM) kama ni 1200RPM itakuwa Hiyo Hiyo Kwa masaa yote ya Kazi labda ikiwa inatakiwa iongezeke wataseti kidogo.

Kwa upande wa gari injini Sawa na generator, gari linakuwa stressed sana kulingana na nature ya Kazi, mazingira na dereva. Kuna muda gari inakuwa na mzigo mzito dereva akiendesha gear ndogo uku amekanyaga sana eksileta(Accelerator) injini inakuwa stressed au pale anapoendesha gari Kila mara na kuvuka red line kwenye mshale wa engine.
 
Back
Top Bottom