Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Ongea ongea na watu utapata kusikia wakati tuko mashuleni boarding had vyuo ndo zilikuwa tambo za watoto wa Dar kwamba wa mkoani ukija dar ukaenda kariakor ukatoka salama ni sawa na kumaliza formsixNdio naisikia kwako hii..
Itakua enzi za boarding na vyuo za wahenga..hakunaga hayo siku hiziOngea ongea na watu utapata kusikia wakati tuko mashuleni boarding had vyuo ndo zilikuwa tambo za watoto wa Dar kwamba wa mkoani ukija dar ukaenda kariakor ukatoka salama ni sawa na kumaliza formsix