Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamatakuonekana muhuni inategemea na mtu anayekufanyia interview sasa kuondoa mushkeli bora upate kazi kwanza.... kukaa kmda mrefu ila usikutane na maji
kampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamata
Nashukuru kwa ushauri rafiki
Ni style gani desent unadhani itanifaa mamito
me simple chana nywele zako au suka mitindo ya nywele yenye heshimakampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamata
Nashukuru kwa ushauri rafiki
Ni style gani desent unadhani itanifaa mamito
ahahaaa dah tano kichwa lohNakushauri hakuna kampuni ya wageni ambayo haina ngozi ya Tako na hao ndo huwa wanakwamisha ni bora usuke twende kilioni kama Fenela Mukangara yaishe!
asante mamii ngoja nipunguze kidogo kwanzaMkuu nenda kwenye interview na nywele yako fupi tu ipake mafuta na chana vizuri utatoka pouwa n then baadya ya mwezi unawezas kuweka maana hata mie nilitaka kuweka nikaambiwa subilia uingie kwenye ajira maana nilikuwa sina ajira ila nina mpango February nitaweka
yebo sijaweka dawa halafu zinaniwashaga sana zileKwanini usisuke hata yeboyebo ukapendeza tu
Nakushauri hakuna kampuni ya wageni ambayo haina ngozi ya Tako na hao ndo huwa wanakwamisha ni bora usuke twende kilioni kama Fenela Mukangara yaishe!
habari zipi kuna mchanganyiko lolnatafuta habari za nyumbani
thanks ila bunda 7 loh?Wala usiangaike na minywele mikubwa. Kama una sura ndefu afu kadogo basi tafta mtaalamu akusuke yebo tumia bunda 7 zijae trust me utapendeza hakuna mfano. Na maswali yatapupngua yaan toka kiheshimaa na husivae nguo zenye rangi kali utakuja niambia. Yebo iyo akusuke kilimanjaro mikia mirefu weee lazima watakukubali. Afu husijipodowe sana lazima interview ushinde
kila la kheri.