khaliciouz
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 579
- 210
IKIWA NDIO SIKU YA KWANZA.
Umefungua garage yako ya kutengeneza magari!!! ukaipa jina la "BMW garage"
ukitengeneza magari ya aina ya BMW tu!!
LAKINI MPAKA KUFIKA SAA NANE MCHANA HAKUNA HATA GARI MOJA LILILOKUJA... ghafla inakuja gari ya TOYOTA VITS... anatoka mdada mmoja ndani ya gari na kukumbuka uliwahi kusoma nae chuo.... anaomba nae atengenezewe gari lake la VITS..... uwezo wa kutengeneza unao ila wewe katika plan yako unataka kutengeneza magi ya bmw tu.
Je utamkubalia kutengeneza gari lake au hapana.... na sabau ni ipi?
Umefungua garage yako ya kutengeneza magari!!! ukaipa jina la "BMW garage"
ukitengeneza magari ya aina ya BMW tu!!
LAKINI MPAKA KUFIKA SAA NANE MCHANA HAKUNA HATA GARI MOJA LILILOKUJA... ghafla inakuja gari ya TOYOTA VITS... anatoka mdada mmoja ndani ya gari na kukumbuka uliwahi kusoma nae chuo.... anaomba nae atengenezewe gari lake la VITS..... uwezo wa kutengeneza unao ila wewe katika plan yako unataka kutengeneza magi ya bmw tu.
Je utamkubalia kutengeneza gari lake au hapana.... na sabau ni ipi?