Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Swali la KIZUSHI: Je, wahitimu ufundi VTC si mahiri kama mafundi wajifunzao chini ya mwembe?
Fundi magari. Fundi cherehani. Fundi ujenzi. Fundi umeme.
n.k.
Hudaiwa huku mitaani kwamba wale waliojifunza vyuoni "hujua ya vitabuni tu, lakini ukimleta mtaani, huwezi kumlinganisha na aliyejifunza kwa fundi mahala pa kazi "a.k.a Chini ya Mwembe." Ushawahi kusikia madai ya namuna hii? Madai haya ni ya urongo kwa kiasi gani?
Fundi magari. Fundi cherehani. Fundi ujenzi. Fundi umeme.
n.k.
Hudaiwa huku mitaani kwamba wale waliojifunza vyuoni "hujua ya vitabuni tu, lakini ukimleta mtaani, huwezi kumlinganisha na aliyejifunza kwa fundi mahala pa kazi "a.k.a Chini ya Mwembe." Ushawahi kusikia madai ya namuna hii? Madai haya ni ya urongo kwa kiasi gani?