Swali la Kizushi kwa Machalii.

Swali la Kizushi kwa Machalii.

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
O..!,,Oi Inakuaje Wakubwa.?Ok ngoja niende moja kwa moja kwenye swali...Et Wanaume wenzangu Ukimsalimia dem/Madem Na unaona kabisa wamekusikia na wamekausha..Kuwa tu Mkweli Rohoni huwa unaongea vitu gani???





@ChaliiYaKijengeJuu.
 
"Kumbafu zao demu wangu mwenyewe anawazidi uzuri halafu wanajinyodoa, sisalimii tena" 😂

Believe me!!Ugly girls ndo wenye hizo tabia
 
Kama inakutokea mara kwa mara hauwezi jutia ni kupotezea... Halafu wafanyavyo hvyo hao ni mademu wa kawaida kujiona wazuri!

wakati ukuta.
 
Back
Top Bottom