princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
Hahaha noumer sana."Kumbafu zao demu wangu mwenyewe anawazidi uzuri halafu wanajinyodoa, sisalimii tena" í ½í¸
Believe me!!Ugly girls ndo wenye hizo tabia
Ngoja tuwaite wajibu mkuu..halafu hiyo tabia madada wengi sana wanayo, sijui ni kwa nn, natamani waje hapa wajibu kwann huwa wanaringa kujibu salamu?
Sent using Jamii Forum mobile app
Wanaboa kishenzi yaani.Kama inakutokea mara kwa mara hauwezi jutia ni kupotezea... Halafu wafanyavyo hvyo hao ni mademu wa kawaida kujiona wazuri!
wakati ukuta.
Mimi nitahakikisha nimepita nao wote mmoja baada ya mwingine.Hahahaa...hua nahakikisha lazima nimmege mmoja wao..kwa gharama yoyote ile..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi bado sijawahi kupata bahati hiyohalafu hiyo tabia madada wengi sana wanayo, sijui ni kwa nn, natamani waje hapa wajibu kwann huwa wanaringa kujibu salamu?
Sent using Jamii Forums mobile app