Unajionaje katika Mazingira unayo ishi, je unaleta tija katika jamii yako?
Kama huleti tija unafikiri nani anapaswa kuleta tija kama sio wewe?
Je wajua nguvu kazi ya Taifa ni wewe? Badilika leo Taifa linakuitaji kudumisha Upendo na Juhudi be Positive.
Soma mazingira cheza na mdundo kwa faida ya kizazi chako na heshima kwa jamii yako, hakuna Mtu atakuwa mfano au kukumbukwa kwa Mabaya.
Mpende Mwenza wako na jifunze kuwa Mwanafunzi wake natumaini siku moja utakuwa Mwalimu wake.
Msubaa ni Maisha yangu siwezi kutengana nao, Amani kwa Mapusha wote wa reja reja Maana baada ya kazi napata utulivu A plus plus.
Kanyeeeeela nyeeela Mumo am off.