Kigoma huwez fananisha na moshi au arusha, ni halali kupiga chini kigoma kuliko Moshi na Arusha,Mbona kigoma ambapo ndio katokea diamond hawajawahi kufanya wasafi festival na kwenye ratiba ya mwaka huu haipo mbona huulizi? Kitu ambacho mtoa mada ujue mikoa ni mingi hawawezi wanafanya mikoa yote.
Exactly ile schedule ya Diamond kama diamond sio wasaf festival...nauliza hivi FIESTA NDO IMESHAKUFA AU.KWELI BALAAA ZITOOOHiyo ratiba ni ya Diamond na siyo ya Wasafi Festival,na Diamond alisema safari hii hatoperfom kwenye mikoa yote itakayofanyika Wasafi Festival
Subiri watoe ratiba ya mikoa inayofuata ndio uanze kulalamika!
Inawezekana hakuna fan base kubwa ya wasafi kwenye mikoa ya kaskazini.
Fiesta (tigo fiesta)haina nguvu kwa sasa kutokana imesha poteza wasanii wenye ushawishi mkubwa 2018 Vanessa na jux walikuja na yao (in love and money tour) halafuu wasafi festival ya diamond na timu take hivyo fiesta ikabaki na wasanii kama luludiva,whozu,weusi,jolie,jay melody etc ukizingatia walimtoa nandyExactly ile schedule ya Diamond kama diamond sio wasaf festival...nauliza hivi FIESTA NDO IMESHAKUFA AU.KWELI BALAAA ZITOOO
Hivi why walimtoa Nandy??Fiesta (tigo fiesta)haina nguvu kwa sasa kutokana imesha poteza wasanii wenye ushawishi mkubwa 2018 Vanessa na jux walikuja na yao (in love and money tour) halafuu wasafi festival ya diamond na timu take hivyo fiesta ikabaki na wasanii kama luludiva,whozu,weusi,jolie,jay melody etc ukizingatia walimtoa nandy
Mzee baba wasafi wana watu wengi kila sehemu.Inawezekana hakuna fan base kubwa ya wasafi kwenye mikoa ya kaskazini.
Hamna vibe labda.Kigoma huwez fananisha na moshi au arusha, ni halali kupiga chini kigoma kuliko Moshi na Arusha,
nae anajimudu kwa sasa.Hivi why walimtoa Nandy??