Swali la kizushi: Kwanini Diamond Platnumz na Wasafi festival wanakwepa mikoa ya Kaskazini..!!

Kigoma huwez fananisha na moshi au arusha, ni halali kupiga chini kigoma kuliko Moshi na Arusha,
Kuna mikoa kibao hapo haijatajwa, labda kama unataka kuchanganya ratiba ya Diamond na Wasafi Festival ambazo ni ratiba mbili tofauti. Isitoshe, mwaka jana ilikuwa ni kama kujaribu upepo tu, kwahiyo huwezi kujaji kwa kuangalia mwaka jana ambayo na yenyewe ni mikoa michache sana ilifanyika Wasafi Festival!
 
Inawezekana hakuna fan base kubwa ya wasafi kwenye mikoa ya kaskazini.
labda kuna washamba wengi ambao bado hawajaona umuhimu wa kushabikia nyimbo zenye maudhui ya matusi
 
asa huko kwa wachags walivo bahili unataka akapige show waingie watu wachache au chuga pale wahuni waanze kucheza ngareroo kwenye wimbo wa the one... muleba huko watu wanafunguka wallet kwa mbwembwe za kihaya ndo mana mzeebaba anaenda kujichotea hela zake tu
 
Aisee tumefika huko. No wonder mtu mweusi atabaki kudharaulika popote pale duniani. Tunagombana na kuchukiana kwa mambo ya kisenge sana. Wivu, uchawi, hila. Shenz kabisa waafrika.
 
Fuatilia ugomvi wa diamond na watu (mashabiki) wa arusha alisema mwenyewe hatokuja kuperfom arusha kwa maana hata asipofanya show arusha haishushi mziki wake ni kipind kirefu kmepita tang atoe kauli hiyo
 
Kuna wadhamini pia anaenda anapoelekezwa na wadhamini ndio wanapanga sehemu gani kwenda kutangaza soko lao. Mikoa pia inategemana na negatians za wadhamini
 
Naona sa hv kila mmoja anachanja mbuga kivyake, mond kawaamsha, mambo ya kutegemea mapromota sa hv miyeyusho
Kila anachofanya diamond , watoto wa clouds wanamuiga ila hawataki kushirikiana nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…