mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Itakuwa hujaona harmo alivyojaza south Sudan ...Inawezekana hakuna fan base kubwa ya wasafi kwenye mikoa ya kaskazini.
Kuna mikoa kibao hapo haijatajwa, labda kama unataka kuchanganya ratiba ya Diamond na Wasafi Festival ambazo ni ratiba mbili tofauti. Isitoshe, mwaka jana ilikuwa ni kama kujaribu upepo tu, kwahiyo huwezi kujaji kwa kuangalia mwaka jana ambayo na yenyewe ni mikoa michache sana ilifanyika Wasafi Festival!Kigoma huwez fananisha na moshi au arusha, ni halali kupiga chini kigoma kuliko Moshi na Arusha,
labda kuna washamba wengi ambao bado hawajaona umuhimu wa kushabikia nyimbo zenye maudhui ya matusiInawezekana hakuna fan base kubwa ya wasafi kwenye mikoa ya kaskazini.
Kwamba arusha kuna binadamu ila kigoma kuna sokwe sio ?Kigoma huwez fananisha na moshi au arusha, ni halali kupiga chini kigoma kuliko Moshi na Arusha,
Kila anachofanya diamond , watoto wa clouds wanamuiga ila hawataki kushirikiana naeNaona sa hv kila mmoja anachanja mbuga kivyake, mond kawaamsha, mambo ya kutegemea mapromota sa hv miyeyusho