hata mi nmejiuliza ila jibu ni moja tu, kuna siku irene ata-change gia angani then janjaro awe single tena so anapima upepo kwanza kama ndoa inakiki au haikiki
Yaani kuna mtu na akili zake anaamini kabisa Dogo Janja kamuoa Irene Uwoya
Mange alisema haya kuwa watz wanapenda sana ubuyu
Mulivyomuangusha kwenye maandamano mkaanza kumtaka awape story nani wahusika kifo cha Masogonge khaaa