Swali la kizushi tuu

Swali la kizushi tuu

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wana jamvi mimi mwenzenu same time hua nakaaa najiuliza maswali nikiona sipati jibu ndo nawashirikisha kwa kupata ufafanuzi zaidi maana naaminigi sana j.f. kuna zaidi ya vichwa!!
Swali lenyewe ni hili!!!!
Hivi wakuu huko juu ya hii mbingu tunayoitizama hua kuna vitu gani!!au huko juu yake hivi kuna mbingu ingine tena au kuna nini!!!
 
Wana jamvi mimi mwenzenu same time hua nakaaa najiuliza maswali nikiona sipati jibu ndo nawashirikisha kwa kupata ufafanuzi zaidi maana naaminigi sana j.f. kuna zaidi ya vichwa!!
Swali lenyewe ni hili!!!!
Hivi wakuu huko juu ya hii mbingu tunayoitizama hua kuna vitu gani!!au huko juu yake hivi kuna mbingu ingine tena au kuna nini!!!

Umeanza maswali yakk yaleeeeee, mi nayaitaga maswali pacha... Ngoja wataalam wa anga waje...
 
Mkuu hua tunafundishwa ukifa huku ukienda huko juu kuna mbingu nyingine yaani unaenda kuzaliwa tena !!! Hapo ndoo maana nimeuliza hivi ni kweli????
 
Swali lingine kwa nini watu wanafikiri jinsi wanavyofikiri
 
Umeleta jf bila shaka kwa kuwa hukupata fursa ya kusoma shuleni habari hizi, soma kwanza 'MFUMO WA JUA' solar system hata kwenye mtandao, jibu utapata sahihi kabisa!
 
umeleta swali lakizushi na utapata majibu yakizushi vile vile
 
Kama kawaida yako,
Wee wa stendi kweli na utakua unalala hapohapo stendi.
 
Back
Top Bottom