Elections 2010 Swali la Kizushi: "Wakati wa Kugombea, Rais Awe Anajiuzulu?"

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Rais anapovaa kofia mbili yaani "urais" na "ugombea urais" anatumia kofia moja ya "urais" ili kujihakikishia ushindi, hivyo kufanya uwanja kutokuwa sawa kwa wagombea wote! Japokuwa duniani hakuna utaratibu wa kujiuzulu wakati wa kugombea lakini logic inatuambia hivyo! Katiba ibadilishwe ili tuondokane na kuwepo kwa "rais mgombea!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…