b wence Senior Member Joined Dec 30, 2016 Posts 154 Reaction score 108 Apr 27, 2017 #1 Ivi ni sahihi au sio sahihi wana ndoa kupeana salamu ya shikamoo?
msold msward JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 595 Reaction score 202 Apr 27, 2017 #2 Dah ilo ni ngum kwa kwel
1beautifull brn feb Member Joined Feb 3, 2017 Posts 65 Reaction score 50 Apr 27, 2017 #3 sahihiii....
Jimmy George JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 1,733 Reaction score 1,648 Apr 27, 2017 #4 Inategemeana na mazoea yao ila kwa wanandoa kwa kuwa ni mwili mmoja basi ni vyema kusalimiana kawaida kama vile za asubuhi,umeshindaje n.k
Inategemeana na mazoea yao ila kwa wanandoa kwa kuwa ni mwili mmoja basi ni vyema kusalimiana kawaida kama vile za asubuhi,umeshindaje n.k
b wence Senior Member Joined Dec 30, 2016 Posts 154 Reaction score 108 Apr 27, 2017 Thread starter #5 Je mnadhani mke kumwambia mumewe "shikamoo" inaweza kujenga uoga..na salamu ya kawaida ikamfanya kuwa rafiki?
Je mnadhani mke kumwambia mumewe "shikamoo" inaweza kujenga uoga..na salamu ya kawaida ikamfanya kuwa rafiki?
mojave JF-Expert Member Joined Apr 30, 2016 Posts 5,568 Reaction score 6,424 Apr 27, 2017 #6 inategemea na mazingira ya ndoa mkuu, kama wameoana watu wa kabila moja ni rahisi sana ili kuwepo lakini tukikutana kiswahili zaidi(makabila tofauti) ipo ila inaugumu fulani
inategemea na mazingira ya ndoa mkuu, kama wameoana watu wa kabila moja ni rahisi sana ili kuwepo lakini tukikutana kiswahili zaidi(makabila tofauti) ipo ila inaugumu fulani