Habari zenu wakuu..., poleni na shughuli za kutwa nzima ya leo...
Naomba kuuliza kwa wale wanaopost kutafuta wachumba humu ilihali hawana mpango/hawako serious.., hivi huwa mnawaza nini? Au huwa mnataka nini?
1. Je ni attention kutoka kwa members
2. PM zenu zifurike meseji
3. Au basi tu mna hulka za kusumbua na kucheza na akili za watu?
Hili ni kwa wote wake kwa waume wanaotangaza kutafuta wachumba wakati kiuhalisia hata hawana haja na hao wachumba..., ni nini hasa huwa mnataka?? Tujulisheni
Nawasilisha...
Mlale unono [emoji137][emoji137]