Swali la kizushi.

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Hivi wadada wanapopiga makelele wakati wa tendo kuu je inaashiria nini?
  • wanasikia raha kuliko wanaume
  • wananakuseti ili umalize haraka
  • wanaumia?
 
Wewe ugunapo wakati wa tendo unaashiria nini

a. maumivu
b.utamu
c.ujiko kwa mdada wa watu?

Jibu lako ndiyo sahihi
 
Ujiko wakati dakika moja baadae mtarimbo utakuwa umelala doro?
Ukiona naguna ujue ni maumivu na kutafuta mbinu kali za kujieleza kwanini nimemaliza haraka
wewe ugunapo wakati wa tendo unaashiria nini

a. Maumivu
b.utamu
c.ujiko kwa mdada wa watu?

Jibu lako ndiyo sahihi
 
huwa sitaki kujua kwanini wanapiga makelele maana anaweza kukuvunja morali atakapokujibu kinyume na matarajio yako
 
huwa sitaki kujua kwanini wanapiga makelele maana anaweza kukuvunja morali atakapokujibu kinyume na matarajio yako


Kwa hiyo weye ni wale bang! bang! bang! ding dang pruuuuuuuuuuu kwaheriteh teh teh hutaki kuapata review teh teh teh
 
Hizo ndiyo nyimbo za kitandani. Unataka mfanye kimyakimya tu? Kazi na muziki bana. Hata wazee wetu zamani wakati wakifanyakazi walikuwa wakiimba: mf. kwenye kulima, kuchunga ng'ombe, kukoboa/kutwanga nafaka, kupiga mtama/mpunga, nk. Nyimbo sasa (kwa staili yake) zimepiga hodi sasa mpaka kwenye privacy
 
Wakurya kitandani utasikia baba akimwambia mama rara mshazari nikurenge......
Halafu mama nae anaanza hapo hapo kusema unanigecha baba mwita....
Kugecha ni kukata kwa panga......
Baba mwita akimuuliza niache , mama anasema endelea....kweli hii mambo ni usanii mtupu
 
Hivi wadada wanapopiga makelele wakati wa tendo kuu je inaashiria nini? wanasikia raha kuliko wanaume
wananakuseti ili umalize haraka
wanaumia?

Yote matatu yanawezekana.
 

hahaha hii kali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…