Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Habari za jioni ndugu katika Mungu na katika baba wa taifa(Nyerere).
Wengi humu ndani wana nyumba ama wanatarajia kumiliki nyumba.
Je, kuku wa jirani yako wakiingia uani mwako au kwenye wigo wako utachukua hatua gani?
1.utachinja ule
2.utamtoza faini
3.Utawatimua na kumpa onyo
4.Utauza kimyakimya au utauza mbele ya halaiki ili umpe funzo.
5.Utawafanya utakalo na yeye utamwambia afanye atakalo pindi kuku wako watakapoingia uani kwake.
Naomba msaada wa jibu ambalo ujirani wenu utabaki imara.
Wengi humu ndani wana nyumba ama wanatarajia kumiliki nyumba.
Je, kuku wa jirani yako wakiingia uani mwako au kwenye wigo wako utachukua hatua gani?
1.utachinja ule
2.utamtoza faini
3.Utawatimua na kumpa onyo
4.Utauza kimyakimya au utauza mbele ya halaiki ili umpe funzo.
5.Utawafanya utakalo na yeye utamwambia afanye atakalo pindi kuku wako watakapoingia uani kwake.
Naomba msaada wa jibu ambalo ujirani wenu utabaki imara.