Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Nimewahi siti ila hili swali ni la kipuuzi sana kuulizwa.Habari za jioni ndugu katika Mungu na katika baba wa taifa(Nyerere).
Wengi humu ndani wana nyumba ama wanatarajia kumiliki nyumba.
Je, kuku wa jirani yako wakiingia uani mwako au kwenye wigo wako utachukua hatua gani?
1.utachinja ule
2.utamtoza faini
3.Utawatimua na kumpa onyo
4.Utauza kimyakimya au utauza mbele ya halaiki ili umpe funzo.
5.Utawafanya utakalo na yeye utamwambia afanye atakalo pindi kuku wako watakapoingia uani kwake.
Naomba msaada wa jibu ambalo ujirani wenu utabaki imara.
Mkuu daaah poleeee jaribu kuwa na broad analytical thinking utapata content ya mleta uzNimewahi siti ila hili swali ni la kipuuzi sana kuulizwa.
Content si iko wazi unafikiri ikitokea hivyo kwa namna tunavyoishi huku uswahilini utafanyaje?na ndiyo maana nimesema swali la kipuuzi hili kuulizwa kwa great thinkers.Mkuu daaah poleeee jaribu kuwa na broad analytical thinking utapata content ya mleta uz
Kumbe ufahamu wako ni mdogo mno haukutoshi kuwa Great thinker, inaonyesha hukuwa msomaji wa novel au play mbalimbali.Content si iko wazi unafikiri ikitokea hivyo kwa namna tunavyoishi huku uswahilini utafanyaje?na ndiyo maana nimesema swali la kipuuzi hili kuulizwa kwa great thinkers.
Content si iko wazi unafikiri ikitokea hivyo kwa namna tunavyoishi huku uswahilini utafanyaje?na ndiyo maana nimesema swali la kipuuzi hili kuulizwa kwa great thinkers.
Huyo atakuwa Lumumba form six failureMkuu daaah poleeee jaribu kuwa na broad analytical thinking utapata content ya mleta uz
Hee huu na upuuzi mwingine.Pole, mleta uzi bado kakuacha patupu!!!
Hapa itakuwa anaharaka sana ya kuwahi posho yake ya buku 7 ya kuinadi rangi ya kijani.Huyo atakuwa Lumumba form six failure
Umenikumbusha story ya kweli aiseeee, miaka hio pale alipokulia Marehemu Shekilango, Mzazi mmoja mwanae alitofautiana na mtoto mwenzie wa jirani, dah, basi yule Mama akawa mkali balaa, akamuadhibu, akamlipizia kile alichotendwa na mwenzie, MUNGU sio John week ile ile wale watoto wakiwa wanacheza yule mtoto wa yule Mama aliyeumizwa kwa bahati mbaya si akamuumiza kwa kisu yule rafiki yake? Yule Mama wa jirani akachukua kisu akataka na yeye amkate yule mtoto kama alivyofanyiwa mwanae!! Ilikua aibu aiseeeeee, FUNZO, tafakai kabla ya kusema au kutenda because WORDS can Only be Forgiven not Forgotten.....5.Utawafanya utakalo na yeye utamwambia afanye atakalo pindi kuku wako watakapoingia uani kwake.
Hiyo ilikuwa hatari sanaUmenikumbusha story ya kweli aiseeee, miaka hio pale alipokulia Marehemu Shekilango, Mzazi mmoja mwanae alitofautiana na mtoto mwenzie wa jirani, dah, basi yule Mama akawa mkali balaa, akamuadhibu, akamlipizia kile alichotendwa na mwenzie, MUNGU sio John week ile ile wale watoto wakiwa wanacheza yule mtoto wa yule Mama aliyeumizwa kwa bahati mbaya si akamuumiza kwa kisu yule rafiki yake? Yule Mama wa jirani akachukua kisu akataka na yeye amkate yule mtoto kama alivyofanyiwa mwanae!! Ilikua aibu aiseeeeee, FUNZO, tafakai kabla ya kusema au kutenda because WORDS can Only be Forgiven not Forgotten.....
Umeona jinsi wana fasihi tunavyoweza kumvua nguo mtu!!!Swali la kipuuzi kweli kweli la mleta uzi...