Swali la muhimu, Kwanini kuna watu wanapinga nyongeza ya posho? Ili iweje!!?

Swali la muhimu, Kwanini kuna watu wanapinga nyongeza ya posho? Ili iweje!!?

Tume ya Katiba

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
4,896
Reaction score
1,862
Wana Ukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali bila kupata majibu, kumekuwa na trend ya baadhi ya watu hasa wale wanaopenda "kuonekanwa" kujitokeza na kupinga ongezeko la posho kwa wajumbe wa bunge la katiba....sasa swali langu kwao na watu wote hapa JF ni kuwa

1) Kwa nini watu wanapinga posho isiongezwe?
2) Je hiyo pesa ambayo haitaongezwa ni yupi miongoni mwetu anajua itapelekwa kwenye jambo lipi la maendeleo...litaalomgusa mwananchi moja kwa moja?

Na kama hamjui hiyo pesa mtakayoiokoa itakavyotumika, kwanini basi isiende kwa wajumbe wa bunge la katiba ikawasaidia wao na familia zao?!!!

Ushauri wangu: Wale wanaopinga ongezeko la posho ni bora waainishe kiwango cha pesa kitakachookolewa, na wapi itaelekezwa........wakishindwa, nawashauri wakae kimya....

Msimamo wangu: Ninaunga mkono pesa iongezwe li iendane na uhalisia wa maisha, afterall hata wakipinga isiongezwe hakuna anayejua wapi itapelekwa hiyo pesa iliyookolewa........Waacheni watanzania wenzetu wapate fursa..

Anyway ni hayo tu.

Mwana ADC

Tume ya katiba
 
Nahic swali la muhm

kwa nini posho iwepo
 
si mzima wewe! kama si mgonjwa basi unaumwa.
 
si mzima wewe! kama si mgonjwa basi unaumwa.
hakika ni fursa manake wajumbe wa Bunge la Katiba wamegeuka kuwa wajasiriamali na wameiona fursa na wakaitumia. Watu wameenda na watoto na wake zao ili wakapambane na umasikini leo unasema wasilipwe laki saba, watakutoa roho! Tanzania kila kitu ni fursa unatakiwa uione, uichukue twenzetu!
 
Wana Ukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali bila kupata majibu, kumekuwa na trend ya baadhi ya watu hasa wale wanaopenda "kuonekanwa" kujitokeza na kupinga ongezeko la posho kwa wajumbe wa bunge la katiba....sasa swali langu kwao na watu wote hapa JF ni kuwa

1) Kwa nini watu wanapinga posho isiongezwe?
2) Je hiyo pesa ambayo haitaongezwa ni yupi miongoni mwetu anajua itapelekwa kwenye jambo lipi la maendeleo...litaalomgusa mwananchi moja kwa moja?

Na kama hamjui hiyo pesa mtakayoiokoa itakavyotumika, kwanini basi isiende kwa wajumbe wa bunge la katiba ikawasaidia wao na familia zao?!!!

Ushauri wangu: Wale wanaopinga ongezeko la posho ni bora waainishe kiwango cha pesa kitakachookolewa, na wapi itaelekezwa........wakishindwa, nawashauri wakae kimya....

Msimamo wangu: Ninaunga mkono pesa iongezwe li iendane na uhalisia wa maisha, afterall hata wakipinga isiongezwe hakuna anayejua wapi itapelekwa hiyo pesa iliyookolewa........Waacheni watanzania wenzetu wapate fursa..

Anyway ni hayo tu.

Mwana ADC

Tume ya katiba
Ni kwa nini nyie CCM mnatetea hiyo nyongeza ya posho? Au ndio mkakati wa kuwahonga wajumbe ili waipitishe hoja ya serikali mbili? Inavyoonekana hao wajumbe wakiomba hata mil 7 kila mmoja kwa siku mtawahonga tu! Shame on you!
 
Wandugu, kwa kweli nchi hii inatisha. Huyu nae hajui kwa nini posho inapingwa na wapenda haki?!!! Imagine hali ilivo kwenye huduma za jamii. Hujui kama hospitali hakuna hata syringe ya sh. 100 ya kumchoma mtoto sindano. Ni wangapi ambao wanakufa wameshindwa kununua dawa ya malaria au ya kisukari.

Au basi niwatetee wafanyakazi wanaoidai serikali; wengine madai yao ya mwaka mzima ni sawa na posho siku moja!!! wakati wauguzi wakidai madai ya extra duty na night call (si posho) pamoja na madaktari wao tangu mwanzo wa mwaka wa fedha July 2013 bila kulipwa hata senti mtanzania huyu anajiuliza kuna sababu gani ya posho kutokuongezwa
 
Wana Ukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali bila kupata majibu, kumekuwa na trend ya baadhi ya watu hasa wale wanaopenda "kuonekanwa" kujitokeza na kupinga ongezeko la posho kwa wajumbe wa bunge la katiba....sasa swali langu kwao na watu wote hapa JF ni kuwa

1) Kwa nini watu wanapinga posho isiongezwe?
2) Je hiyo pesa ambayo haitaongezwa ni yupi miongoni mwetu anajua itapelekwa kwenye jambo lipi la maendeleo...litaalomgusa mwananchi moja kwa moja?

Na kama hamjui hiyo pesa mtakayoiokoa itakavyotumika, kwanini basi isiende kwa wajumbe wa bunge la katiba ikawasaidia wao na familia zao?!!!

Ushauri wangu: Wale wanaopinga ongezeko la posho ni bora waainishe kiwango cha pesa kitakachookolewa, na wapi itaelekezwa........wakishindwa, nawashauri wakae kimya....

Msimamo wangu: Ninaunga mkono pesa iongezwe li iendane na uhalisia wa maisha, afterall hata wakipinga isiongezwe hakuna anayejua wapi itapelekwa hiyo pesa iliyookolewa........Waacheni watanzania wenzetu wapate fursa..

Anyway ni hayo tu.

Mwana ADC

Tume ya katiba

Kweli nyie wajumbe vichwani hamuna kitu kabisa,mtu kama wewe umechaguliwa na rais ili uwakilishe mamia ya watu halafu hujui hata kujenga hoja???pesa zinakwenda wapi ndiyo swali gani hilo??unavyolipa kodi unafahamu pesa zinakwenda wapi?? jenga hoja kwanini muongezewe posho??
 
Wandugu, kwa kweli nchi hii inatisha. Huyu nae hajui kwa nini posho inapingwa na wapenda haki?!!! Imagine hali ilivo kwenye huduma za jamii. Hujui kama hospitali hakuna hata syringe ya sh. 100 ya kumchoma mtoto sindano. Ni wangapi ambao wanakufa wameshindwa kununua dawa ya malaria au ya kisukari.

Au basi niwatetee wafanyakazi wanaoidai serikali; wengine madai yao ya mwaka mzima ni sawa na posho siku moja!!! wakati wauguzi wakidai madai ya extra duty na night call (si posho) pamoja na madaktari wao tangu mwanzo wa mwaka wa fedha July 2013 bila kulipwa hata senti mtanzania huyu anajiuliza kuna sababu gani ya posho kutokuongezwa

Huyu mpuuzi anafahamu vizuri tu kama nchi hii ni maskini na huduma za kijamii zipo hovyo. Yeye anataka kujua tu pesa ambazo zitakuwaSaved kutokana na wao kutopewa nyongeza tuna uhakika zirafanya kazi za maendeleo??Sasa hili swali la kuuliza mtu mzima tena mjumbe wa katiba??
 
Back
Top Bottom