Swali la mwaka linaloumiza kichwa changu

Duuuuuh! Hamn tofaut na watu wawil waliokaa kwnye namba 6 mmoj yuko juu mmoja yko chini wanabishan hyu anasem hii tisa mwngne anasem hii sita nani atashnda hpo!
 
Mawazo ya mtu hasie kula mmea ni sawa na kibuyu kitupu.

Mtu anaekula mmea ni sawa na kibuyu chenye asali.


Tathimini chukua hatua.
 
Tatizo lenu hamjamuelewa alipo sema mamba na kiboko nani ni kiboko.alikuwa ana maanisha nani ana mzidi mwenzake au anayeogopwa sana na mwenzake au wanyama wengine n.k.jibu mamba ana muogopa kiboko.na mamba hawezi kumla kiboko na ikitokea mamba kamchokoza kiboko au alikuwa ana msumbua mtoto wa kiboko.patachimbika mtoni.
 

Uwezo wa kufikiri wa watz ni mdogo sana. Badala ya kujibu swali wamemshambulia.
 
Nadhan mkuu hao wote walioshiriki kushambulia ndo wapimwe ubongo wao maana nahis darasan wote wanaweza kupata ziro kwa kukurupuka bila kuelewa swali "hongera sana mkuu ww ni clitical thinker
 
Nadhan mkuu hao wote walioshiriki kushambulia ndo wapimwe ubongo wao maana nahis darasan wote wanaweza kupata ziro kwa kukurupuka bila kuelewa swali "hongera sana mkuu ww ni clitical thinker
[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]
 
Mimi nahisi kiboko ndo kiboko, maana ana-survivor majini na nchi kavu na anakula nyama na majani, na analiwa na wanadamu pia
Tofauti ya mamba anayekula nyama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…