Swali la mwaka linaloumiza kichwa changu

Lazima uwachanganye watu umemtaja kiboko kama mnyama na pia kama sifa au uhodari
 
Kweli tanzania bado tuko nyuma. Hii yote ni kutokana na kubadilishwa mara kwa mara mitaala ya elimu. Siku hizi watu hawataki kuchukua muda wa kutafakari na kuelewa swali wao wako haraka kujibu kama kauli mbiu yao.

Hapo inategemea na mazingira. Kila mmoja anaweza kuwa hodari kutokana na hali halisi ya muda huo ingawaje wao kwa wao wanayomipaka yao wanapokuwa katika dimbwi moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…