Kipindi naenda kusoma Azania secondary niliambiwa kutoka kwa watu kuwa kila weekend kunakuwa na mziki mnene A.k.A school bash ila nilivyofika wala sikuwahi kuona tukio hilo la mziki kila weekend.
Kipindi naenda kusoma Azania secondary niliambiwa kutoka kwa watu kuwa kila weekend kunakuwa na mziki mnene A.k.A school bash ila nilivyofika wala sikuwahi kuona tukio hilo la mziki kila weekend.