Apewe au ampe mimba,wazazi wote duniani wapo kwa ajili ya kulinda familia zao,ukiwa mzazi jukumu lako la kwanza ni kulinda,kujenga na kutoa malezi bora kwa watoto wako haijalishi wa kike au wakiume ukifanya kosa ni kosa na mwisho wa cku lawama zitakujia ww mzazi kwa kutokumpa mwanao malezi bora.