Najaribu kuimajini:
Nna rafiki wangu wa kike
Anakuja kuniambia boifrendi wake anamsifia kitumbua chake ni kitamu
Afu ananiuliza tofauti ya vitumbua
Hayo mazungumzo yalifanyikia wapi?
Kama huyo rafiki yako wa kike kaja kukuambia maneno hayo afu usikionje kitumbua chake......Kuna tatizo hapo!
Mkipewa si lazima muambiwe "chukua"
Sawa vijana?
we sema unataka kitumbua tu ila research upande huo inalipa maana study sample yake ina wigo mkubwa, maana kwa phD lazima uwe na sampling ya 200 vitumbuaziMkuu Senetor, niPM # zake, nataka kufanyia research hili Suala.. Si unajua nataka niwe daktari bingwa wa kina mama..!
hahahahahaha Babu ODM
vijana wa siku hizi bana sasa ndio stori gani hizo
ooohh kitumbua changu kitamu mara muwa wake mtamu
khaaaa wanakuwa wameanzia wapi
mmh.....cha mayai tena! k tuendelee!
Habari zenu watanzania wenzangu!!ebana nina rafiki yangu wa kike{wa kawaida},ambae tumezoeana sana,jana kkt mazungumzo yetu akaniuliza hvi,hvi wanaume huwa tunapenda vitumbua vya aina gani,maana boyfriend wake kila wakiwa wana do lazima amsifie kuwa eti ana kitumbua kizuri na kitamu.wadau,vitumbua vina ubora tofauti kwani?
Blaki umegusa kwenyewe kabisa,Senetor huyo mtoto anakutaka,I bet myameelezwa na BF wake sasa anakueleza wewe ile iweje........ukakionje au
Vitumbua mapishi babu weee!
Umeona eeeKweli kabisaaaaaaaaa
inawezekana kikawa cha mayai,
lakini kikawa kimeungua.
Umeona eee
Inatakiwa balansi nzuri
Maji, mafuta, sukari, mayai
na moto wa kuchomea