Swali lake nimelishindwa

halafu mwana,huyo mtoto anakutaka haiwezekani out of nowhere aanze kukueleza mazungumzo yao ya faragha...

siyo lazma awe anamtaka, kuna mademu wamepinda na mi nshakutana nao. Mpelekeni chaka tu huyo senetor wenu.
 
Mkubwa unakaribishwa hapo nawe upate huduma!! hivi katika hali ya kawaida mwenzio akikuambia chapati za bi kiroboto tamuuuuu.. unadhani anamaana gani au anakusudia nini? dada anataka ukaonje hicho kitumbua chake... ndo maana!!
 

Kitumbua? wanawake wanavitumbua siku hzi?
 
mwambie kitumbua kizuri ni kile cha unga wa DENGU.
 

Mkuu Senetor na wana Jf kwa ujumla,

Ni hivi: kuna vitumbua vya aina mbili (2).
1. Vipo vile vya vinavyo-shabihiana kama uso wa P.AK.A . Vitumbua aina hii ni vitamu sana coz wengi wao huwa wana umbo la wembamba. Ikitokea akajaliwa masaburi kwa nyuma basi huwa kiburudisho tosha sana mkuu. Pia wengi wenye vitumbua vya aina hii ( uso wa paka) huwa hawana maji sana ( yaani ile pwapwapwapwa!) -daima maji huwa moderate na kitu inavutia kusugua kwa muda mrefu kabla ya kuamua kushusha mzigo.

2. Vipo vitumbua vingine vinavyo-shabihiana na uso wa M.BW.A. Mkuu vitumbua vya aina hii kaka ni vitamu hasa kama umbo la mdau ni unene wa kati. Walio wengi wenye vitumbua kama hivi ni mabonge! na hasa wenye vitambi. Mkuu vitumbua hivi ukimpata mtunzaji basi huwa ful mnato na huwezi kushiwa hamu. Lakini tatizo lao kubwa ni kuwa wengi huwa wanavutia kwa macho/kiushungi kwa nyuma lakini ukienda kwenye mechi huwa wavivu sana na hawana utaalamu na huenda hamu inaweza kwisha.

NB: All in all, kitumbua dizaini ya uso wa paka ni NOMA hasa upate kitu black beauty mkuu!
 
kitumbua sharti mchele uwe mzuri,na mafuta mengi!ila,hpo naona huyo rafikiyo anakumendea,kaa tayari
 

duh!!kazi kwelikweli.
 

Mmmhhh......kashesheee
 
hahahahahaha Babu ODM
vijana wa siku hizi bana sasa ndio stori gani hizo
ooohh kitumbua changu kitamu mara muwa wake mtamu
khaaaa wanakuwa wameanzia wapi

Hahahaha......... hawa ndo wale ukimvulia andawea kesho mtaa mzima wanajua mpaka rangi ya andawea uliyovaa..... Akienda raundi mbili tena za kijogoo jogoo mtaani wanaambiwa amepiga saba mpaka mtu akazimia
Watoto bana, afadhali tumepitia huko hatudanganywi.
 


utoto kazi wakikua wataacha
 
mchele ni uleule ila mapishi mbalimbali,kuna wali wa nazi,biriani.pilau,uji wa mchele,so inategemea ww unapenda kipi lakini vyote ivyo ni mchele bhana.....na ni vitamu
 
..hamna ki2 hapo Seneter,huyo gal anajaribu tafuta mawimbi ya king'amuzi chako na kutuhakikishia mpe dudu then uje utujuze wadau..huo uzuri na utamu kiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…