Swali langu kwenu waendesha private car kwenda Mikoani

Swali langu kwenu waendesha private car kwenda Mikoani

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
Unakuta mtu anaishi Arusha au anaishi Dodoma then anataka atoke alipo aende mkoa tofauti

Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni:

Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio kufata lami moja kwa moja?

Mi najuaga mnafata mabasi kwa nyuma sasa naona itakua haina maana kama utafata bus kwa nyuma,bora upande bus sasa.

Nauliza hivi kwasababu Baba angu ni msafiri sana wa huko mikoani na unakuta kuna mkoa anaenda hajawahi hata kufika.

Nilishaenda nae kipind flani nikahisi labda huko barabarani kuna vibao,ila ajabu ni kwamba sijawahi ona kibao tofauti na vya SPEED LIMIT

ukimuuuliza amejuaje njia,anakujibu kisiasa "ntakwambia ukiwa mkubwa"

Sasa mi naomba kujua nyie waenda mikoani hizo njia mnazijuaje hadi mnafika kabisa mkoa Husika

Maana kuna sehemu unakuta round about halafu njia ziko kama 4 hivi na hazijaandikwa ila mtu hakosei anaingia right way,mnajuaje?

Na ndio mikoa yote sasa nchi nzima,kweli?
 
Ni simple sana Mkuu ukikuwa utajua wala huitaji kuonyeshwa wala kuuliza barabara huwa zinajiongoza ....kwanza kasomee driving utajifunza kila kitu... kwanza ukiona kibao cha 30speed inamaanisha nini ama uko eneo gani na 80speed Ina maana gani
 
Mzee wako siwezi kumsemea ila sasa hivi zinatumika Google maps
 
Unakuta mtu anaishi Arusha au anaishi Dodoma then anataka atoke alipo aende mkoa tofauti

Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni:

Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio kufata lami moja kwa moja?

Mi najuaga mnafata mabasi kwa nyuma sasa naona itakua haina maana kama utafata bus kwa nyuma,bora upande bus sasa.

Nauliza hivi kwasababu Baba angu ni msafiri sana wa huko mikoani na unakuta kuna mkoa anaenda hajawahi hata kufika.

Nilishaenda nae kipind flani nikahisi labda huko barabarani kuna vibao,ila ajabu ni kwamba sijawahi ona kibao tofauti na vya SPEED LIMIT

ukimuuuliza amejuaje njia,anakujibu kisiasa "ntakwambia ukiwa mkubwa"

Sasa mi naomba kujua nyie waenda mikoani hizo njia mnazijuaje hadi mnafika kabisa mkoa Husika

Maana kuna sehemu unakuta round about halafu njia ziko kama 4 hivi na hazijaandikwa ila mtu hakosei anaingia right way,mnajuaje?

Na ndio mikoa yote sasa nchi nzima,kweli?
mkuu ushakuwa mkubwa sasa?
 
Hizo roundabout hazina vibao vya kuelekeza, wakati mwingine ni bora ukauliza maana unaweza kuendesha kilometa 100 ukajikuta umeingia chaka
 
Back
Top Bottom