Swali linalonotatiza nisaidieni majibu wana Jf

Swali linalonotatiza nisaidieni majibu wana Jf

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
613
Reaction score
313
Keki kavu hupendeza sio yenye maji ndani,
Utaila unacheza ngoma haionekani, Kama utajilegeza utaomba hadharani,
Haikwami ukimeza mambo hua burudani,
Kwa kweli yanishangaza utamu hadi ndotoni.
Kisu ukikipenyeza kitafika hadi chini, Wala hutakikwaruza kwa keki ilivyo laini.
Wengi wataka jifunza wajilie majumbani.
Lakini inawatatiza hawajui kipimo nini.
Hivi unafikiri ni keki gani? hebu nisaidie Jibu. Tafadhali
 
Keki kavu hupendeza sio yenye maji ndani,
Utaila unacheza ngoma haionekani,
Kama utajilegeza utaomba hadharani,
Haikwami ukimeza mambo hua burudani,
Kwa kweli yanishangaza utamu hadi ndotoni.
Kisu ukikipenyeza kitafika hadi chini, wala hutakikwaruza kwa keki ilivyo laini.
Wengi wataka jifunza wajilie majumbani.
Lakini inawatatiza hawajui kipimo nini.
Hivi unafikiri ni keki gani? hebu nisaidie Jibu. Tafadhali
 
peleka mmu huku tuna mambo ya kitaifa.mods tutoleen huu uzi
 
Back
Top Bottom