kiziwi anakuwa bubu kwasababu hasikiii, angekuwa anasikia angekuwa na uwezo kujifunza lugha wanayoongea wenzao, sasa yeye hajawahi kusikia lugha yoyote, n hajui cha kuongea, ndo maana ataishia kusema baab baaa baa tu. kwahabari ya ulimi kuwa mzito, sijui inatokana na mazoezi akiwa mdogo, kwasababu kama angekuwa anasikia alipokuwa mdogo, angejifunza, tunawaona watoto wadogo ambao hawajaanza kuongea wanavyokuwa na ulimi mzito pia, hivyo kama hawatasikia lugha na kujifunza, basi watabaki hivyohivyo kama walivyokuwa watoto wadogo....huu ni ufahamu wangu ambao si wa kidaktari...madaktari walete majibu basi...