Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Nimeulizwa swali na mdada mmoja inaelekea kuna shida amempata (sikupenda kudadisi zaidi) na sijampa jibu kamili.
Mara nyingi na inaendelea kutokea hadi leo kwamba kwenye mahusiano kukawa na ugomvi na matokeo ya ugomvi inakuwa ama kuumizana/kuumizwa (physically) au kuharibu vitu ama kuharibiwa hasa kwa wale walio katika ndoa (kuvunjwa vioo vya gari, kupasua tv n.k). Na inapotokea hivi, ambapo kwa wahusika, anayeona kaumizwa / kaharibiwa vitu (pengine hata kuchomewa nguo) kaenda shitaki kwenye vyombo vya usalama wa raia kesi zake huwa hazifikishwi mahakamani na huambiwa wakamalizane wenyewe wao kwa wao tofauti zao.
SWALI:
Mara nyingi na inaendelea kutokea hadi leo kwamba kwenye mahusiano kukawa na ugomvi na matokeo ya ugomvi inakuwa ama kuumizana/kuumizwa (physically) au kuharibu vitu ama kuharibiwa hasa kwa wale walio katika ndoa (kuvunjwa vioo vya gari, kupasua tv n.k). Na inapotokea hivi, ambapo kwa wahusika, anayeona kaumizwa / kaharibiwa vitu (pengine hata kuchomewa nguo) kaenda shitaki kwenye vyombo vya usalama wa raia kesi zake huwa hazifikishwi mahakamani na huambiwa wakamalizane wenyewe wao kwa wao tofauti zao.
SWALI:
- Je hii ni sahihi?, maana hukumu hutolewa kwa mujibu wa sheria na mahakama
- Kama si sahihi ni jambo gani linapaswa kufanywa/kufuatwa na mshitaki ili haki yake itendeke?