Elections 2010 Swali: Original SMS za uchochezi, zinaingia Voda peke yake?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Je kuna mtu ambaye anatumia mtandao mwingine zaidi ya Voda ambaye amepata ile msg ya kumkashifu Slaa inayotoka kwenye namba ya kughushi, yenye code fake ya Finland, moja kwa moja?

Imeonekana kuwa wengi wanaopata msg hii directly kutoka katika hii namba ya kugushi ni wanaotumia mtandao wa voda, kisha inasambaa katika mitandao mingine ikitokea namba hizo za voda...


NB: Ile namba ni fake na imetengenezwa hapa hapa Tz. kwani namba za Finland baada ya code number (+358), zinafuata Trakimu tisa (kama ilivyo hapa Tz). Ile namba ina tarakimu chache tu baada ya code number na ikipigwa unaambiwa kuwa haipo!
 
Hii namba siyo ya Finland. Waanzilishi ni voda. Kuna mtu ameanzisha post ya uongo akidai ilitokea mji wa Oulu. Ni upuuzi. Unaweza ukapigiwa namba Tanzania halafu ukasema hii imepigiwa Morogoro au Dodoma au wapi wakati wewe si operator kwenye hiyo kampuni ya simu! Ukweli ni kwamba ni namba ya Tanzania! FULL STOP
 
karibu sana dreamer!..........i agree with ya!
 
kuna jamaa mmoja wa IT pale vodacom ambae anahusika na huu upuuzi. Kamalizia Bsc electronics pale UDSM mwaka 1999. ameungana na kile kikundi cha miraji pale upanga.
 
kuna jamaa mmoja wa IT pale vodacom ambae anahusika na huu upuuzi. Kamalizia Bsc electronics pale UDSM mwaka 1999. ameungana na kile kikundi cha miraji pale upanga.

Maharage Chande - Baba yake alikuwa Balozi (right?)
 
Mhh Maharage Chande baba yake alikuwa balozi? hahaha! sidhani kama Maharage anaweza kufanya vitu vya kitoto kama hivi!
 
WENGI NINAOWAULIZA NI WENYE MTANDAO YA VODA

inaweza kuwa kweli MSG origin yake ni VODA
 
12 Okt 2010 ... vijana kadhaa leo nawapa majina ya wawili; maharage chande na edgar .... Maharage Chande, Executive Head of VAS, Vodacom Tanzania huyu chande inaonekana ni ...
www.jamiiforums.com/.../78248-taarifa-ya-siri-mikakati-ya-kuiba-kura-inavyoendelea-wanabidii-net.html - Zilizo kwenye kache

HIi thread MOd wameifunga
 
Na sio tu kuwa origin ni voda, bali pia voda wametoa namba za wateja wao...
 
kuna jamaa mmoja wa IT pale vodacom ambae anahusika na huu upuuzi. Kamalizia Bsc electronics pale UDSM mwaka 1999. ameungana na kile kikundi cha miraji pale upanga.

yah atakuwa ni yeye alimaliza pale Azania A level, na alikuwa mlimani T.96, kweli alimaliza 1999 Electronics, kutokana na yale maelezo ya ile thread inawezakana kabisa ni makakati maalumu wa Voda na CCM
 
Niliweka hiyo ripoti ya kina Maharage na wenzie kuhusu hujuma wazifanyazo but ikatolewa leo naona watu wamefungua macho
 
Hamjui Voda inamilikiwa na nani? Board Chairman wake mnamfahamu? Mkijibu haya masaswali utaelewa kinachofanyika
 
Board chairman ni pius msekwa(ccm),mwenye 35% of vodacom equity ni rostam aziz(ccm)...case closed
 
Mtoto wa makamba ni afisa uhusiano coda.. ccm wamejazana huko.... kwa nini voda wasishtakiwe kwa kutoa no za wateja wao? kila aliyepata orgn sms hii ni mteja wa voda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…