SWALI: Pwani ya watu weusi a.k.a Zanzibar halisi ni Kisiwa kipi? Historia inahukumu.

SWALI: Pwani ya watu weusi a.k.a Zanzibar halisi ni Kisiwa kipi? Historia inahukumu.

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,603
Reaction score
3,658
Ukisoma historia ya Mkoloni utaona kuwa Unguja ndiyo Zanzibar halisi. Pemba ni kisiwa tu kilicho kuja kujumuishwa kama moja ya sehemu ya Zanzibar (a.k.a Unguja). Hata huyo Sultan alikuwa ameweka makazi Zanzibar (Unguja), na ndiyo maana hata wanamapinduzi ni Watu wa Unguja (Zanzibar).

Sasa najiuliza watu Pemba wanavyodai kuwa wanataka ZANZIBAR (a.k.a UNGUJA) huru, hivi ni kweli wanajua wanacho kidai au Wanataka kuirudisha PEMBA yao kinyemela nyemela kwa kutumia Mgongo wa Watu wa Zanzibar (UNGUJA) ?. Hata mara baada ya Mapinduzi ya Zanzibar (BOFYA HAPA:Zanzibar Revolution - Wikipedia, the free encyclopedia )Mwaka 1964 iliundwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Pemba (BOFYA HAPA: People's Republic of Zanzibar and Pemba - Wikipedia, the free encyclopedia).
Kwa kusoma Historia bila kupindisha Macho Mapinduzi yalifanywa na Wazanzibar (Waunguja) amabao walimwaga damu kuikomboa nchi yao, hawa Wapemba hawakushiriki kwenye mapinduzi. TAZAMA RAMANI HIYO YA KIISTORIA.

Anglo-Zanzibar_war_map.gif
Swali Zanzibar huru ni ipi? UNGUJA au PEMBA.
zanzibar.gif
 
Ndiyo maana magamba yanadai zitafutwe hati za muungano kati ya Pemba na Unguja. ANgalia hata magamba ni mengi zaidi Unguja kuliko Pemba. Palipo na magamba ubaguzi ni sugu.
 
Ndiyo maana magamba yanadai zitafutwe hati za muungano kati ya Pemba na Unguja. ANgalia hata magamba ni mengi zaidi Unguja kuliko Pemba. Palipo na magamba ubaguzi ni sugu.
Mkuu wewe unatakiwa upewe dawa ya kutapika kusafisha moyo wako umejaa chuki na ubinafsi zidi ya watanzania sijui kwanini warwanda mnawachukia sana watanzania.
 
Mungu ni mwema katufanya wamoja huu ubaguzi uliopandwa sasa hauna nafasi tena mtahangaika sana kuupanda lakini hautafanikiwa kabisa tanzania twenzetu na umoja wetu mungu yuko nasi.
 
Ukisoma historia ya Mkoloni utaona kuwa Unguja ndiyo Zanzibar halisi. Pemba ni kisiwa tu kilicho kuja kujumuishwa kama moja ya sehemu ya Zanzibar (a.k.a Unguja). Hata huyo Sultan alikuwa ameweka makazi Zanzibar (Unguja), na ndiyo maana hata wanamapinduzi ni Watu wa Unguja (Zanzibar).

Sasa najiuliza watu Pemba wanavyodai kuwa wanataka ZANZIBAR (a.k.a UNGUJA) huru, hivi ni kweli wanajua wanacho kidai au Wanataka kuirudisha PEMBA yao kinyemela nyemela kwa kutumia Mgongo wa Watu wa Zanzibar (UNGUJA) ?. Hata mara baada ya Mapinduzi ya Zanzibar (BOFYA HAPA:Zanzibar Revolution - Wikipedia, the free encyclopedia )Mwaka 1964 iliundwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Pemba (BOFYA HAPA: People's Republic of Zanzibar and Pemba - Wikipedia, the free encyclopedia).
Kwa kusoma Historia bila kupindisha Macho Mapinduzi yalifanywa na Wazanzibar (Waunguja) amabao walimwaga damu kuikomboa nchi yao, hawa Wapemba hawakushiriki kwenye mapinduzi. TAZAMA RAMANI HIYO YA KIISTORIA.

View attachment 152754
Swali Zanzibar huru ni ipi? UNGUJA au PEMBA.
Hakika wakisoma huu uzi watakuelewa lakini kwa vile hujifanya vichwa ngumu wanaweza kuendelea kubisha hata kama ukweli wanaujua.
 
Hakika wakisoma huu uzi watakuelewa lakini kwa vile hujifanya vichwa ngumu wanaweza kuendelea kubisha hata kama ukweli wanaujua.

Itabidi waelewe tu kwani sasa tumeamua kuichimba historia kwa undani zaidi. Chanzo cha mgogoro wa Zanzibar (BOFYA HAPA:Zanzibar History )ni mnyukano wa Kisiasa kati ya ASP na Muungano wa vyama vya ZNP/ZPPP miaka ya 1957-1961. Walifanya uchaguzi mwaka 1961 amabao ASP walipata viti 10 wakati Muungano wa ZNP/ZPPP wakapata viti 13. Hivyo muungano wa ZNP/ZPPP wakaunda serikali chini ya Waziri kiongozi Sheikh Mohammed Shamte na Mkuu wa nchi akiwa bado ni Sultan Jamshid ibn Abdullah. ASP wao walikuwa wanapinga kuendelea kutawaliwa na Sultan (Ikumbukwe kwamba Zanzibar walipewa uhuru kutoka kwa Muingereza mwaka 1963 ), lakini bado sultan akiendelea kutawala.Tar 12/1/1964 John Okello chini ya ASP akaongoza Mapinduzi kumtimua sultani na mara baada ya Mapinduzi Uongozi wa ASP ukawekwa chini ya Mzee Karume...Kwahiyo serikali ya Vibarka wa SULTAN i.e ZNP/ZPPP ikawa imepigwa chini. Baada ya hapo mzee Karume haraka akakubaliana na Nyerere kuiunganisha Zanzibar na Tanganyika Kuunda Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (SOMA ARTICLES OF UNION HAPA: Articles of the Union between Tanganyika and Zanzibar)
 
Hapa serikali tatu tu.....

Mzee Karume wa ASP aliwazidi ujanja Vibaraka wa Sultan i.e ZNP/ZPPP..kwahiyo masalia ya ZNP/ZPPP ndiyo wanamaumivu na hasira ya Kunyukwa na akina John Okello na Mzee Karume. Kuona isiwe taabu Karume akaja kuomba kuunganisha Zanzibar na Tanganyika.
Back kwenye mada Zanzibar ni UNGUJA na wala siyo Pemba. Baada ya Uhuru wa Mwingereza Iliundwa Jamuhuri ya Watu wa ZANZIBAR na PEMBA. Kamanda historia inahukumu. TAFAKARI MARA MBILI.
 
Ukisoma historia ya Mkoloni utaona kuwa Unguja ndiyo Zanzibar halisi. Pemba ni kisiwa tu kilicho kuja kujumuishwa kama moja ya sehemu ya Zanzibar (a.k.a Unguja). Hata huyo Sultan alikuwa ameweka makazi Zanzibar (Unguja), na ndiyo maana hata wanamapinduzi ni Watu wa Unguja (Zanzibar).

Sasa najiuliza watu Pemba wanavyodai kuwa wanataka ZANZIBAR (a.k.a UNGUJA) huru, hivi ni kweli wanajua wanacho kidai au Wanataka kuirudisha PEMBA yao kinyemela nyemela kwa kutumia Mgongo wa Watu wa Zanzibar (UNGUJA) ?. Hata mara baada ya Mapinduzi ya Zanzibar (BOFYA HAPA:Zanzibar Revolution - Wikipedia, the free encyclopedia )Mwaka 1964 iliundwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Pemba (BOFYA HAPA: People's Republic of Zanzibar and Pemba - Wikipedia, the free encyclopedia).
Kwa kusoma Historia bila kupindisha Macho Mapinduzi yalifanywa na Wazanzibar (Waunguja) amabao walimwaga damu kuikomboa nchi yao, hawa Wapemba hawakushiriki kwenye mapinduzi. TAZAMA RAMANI HIYO YA KIISTORIA.

View attachment 152754
Swali Zanzibar huru ni ipi? UNGUJA au PEMBA.
View attachment 152762


Wazenji wengi weusi walitokea VISIWA vya TUMBAKTU
 
Walopindua sio waunguja ni John Okello mbona hamumpi nchi yake ikiwa nyinyi ni wakweli.mbona mlimfukuza mwanamanduzi huyo.na Abdulrahman Babu mpanga mikakati pia mkamweka kizuizini mpaka akatoroka hadi kufikia kufia uhamishoni? Na kanali mahfoudh mpaka samora machel kamchukua na kafia msumbiji na Kassim Hanga mwanamapinduzi thabiti aliehitimu urusi mbona mmemuua au na yeye mpemba? Nyerere alisema ukila nyama ya mtu....na nyinyi mmeshakula nyama za watu ndio mnachanganyikiwa hamna hoja za serikali 2 mnaanzisha vurugu ili mukwepe hoja.hata mkisema sultan atakuja hapa ni serikali3 hata mkisema znz watakuwa waislam hapa ni serikali3 hata mkisema muungano utavunjika hapa ni serikali3.tunajua mmeshatoa pesa nyingi mnataka kuzirudisha kwa kuuza rasilimali zetu lakini mara oooh....zimewakwepa zipo kwenye serikali washirika! Lieni na kusaga meno.
 
Ndiyo maana magamba yanadai zitafutwe hati za muungano kati ya Pemba na Unguja. ANgalia hata magamba ni mengi zaidi Unguja kuliko Pemba. Palipo na magamba ubaguzi ni sugu.

Hiyo hati ya Muungano kati ya Pemba na Unguja itadaiwa baadae, tuanze kwanza hati ya Muungano wa Sisi bara na kisiwa cha Mafia!!

Kama haipo basi tuwape Mafia uhuru wawe nchi kamili waunde serikali yao!!
 
Mungu ni mwema katufanya wamoja huu ubaguzi uliopandwa sasa hauna nafasi tena mtahangaika sana kuupanda lakini hautafanikiwa kabisa tanzania twenzetu na umoja wetu mungu yuko nasi.

Wamoja wapi wewe? huko kuwaua na kuwamwagia tindikali mapadri? umeona jins watanganyika wanavyo baguliwa huko zanzibar? wazanzibar sio watu wa kuishi nao ni mafirauni.
 
coartem; naona unamatatizo wewe. Hivi haya unayoandika una akili timamu. Unajua historia au unachakachua. Jee, ukiambiwa Tanganyika yote mpaka burundi na rwanda na congo zilikuwa chini ya himaya ya Zanzibar utakubali?. tuacheni upotofu. Linalo zungumzwa ni utatu wa serikali ya tanzania wala sio kuvunja muungano. Kwa uwelevu wa wasomi, wanasema serikali mbili ndio zitavunja muungano. maana hakuna anaye taka kuendelea kutawaliwa na kero hazitakwisha. Hazikwisha kwa miaka hamsini na hazitokwisha leo kwa kuwa kuna mabadiliko ya katiba.
 
Huyu mtoa mada ni mjinga wa mwisho ivi kama anataka hati ya unguja na pemba ajiulize kwa nn Shein yuko pale anawaongoza?c mpemba uyo rais wenu.?kama mnataka hati ya unguja na pba kamulizeni?
 

Attachments

  • 1398048862865.jpg
    1398048862865.jpg
    25.1 KB · Views: 220
Huyu mtoa mada ni
mjinga wa mwisho ivi kama anataka hati ya unguja na pemba ajiulize kwa
nn Shein yuko pale anawaongoza?c mpemba uyo rais wenu.?kama mnataka
hati ya unguja na pba kamulizeni?

Soma mada vizuri uielewe. Hakuna sehemu niliyotamka kuwa nataka hati ya Zanzibar (Unguja) na Pemba
 
Ndio muelekeo wa mada yako,nafikiri haujui ulichokiandaika kwenye headline yako
 

Attachments

  • 1398053664409.jpg
    1398053664409.jpg
    9.3 KB · Views: 530
coartem; naona unamatatizo
wewe. Hivi haya unayoandika una akili timamu. Unajua historia au
unachakachua. Jee, ukiambiwa Tanganyika yote mpaka burundi na rwanda na
congo zilikuwa chini ya himaya ya Zanzibar utakubali?. tuacheni upotofu.
Linalo zungumzwa ni utatu wa serikali ya tanzania wala sio kuvunja
muungano. Kwa uwelevu wa wasomi, wanasema serikali mbili ndio zitavunja
muungano. maana hakuna anaye taka kuendelea kutawaliwa na kero
hazitakwisha. Hazikwisha kwa miaka hamsini na hazitokwisha leo kwa kuwa
kuna mabadiliko ya katiba.
Kwanza niombe radhi, sijachakachua historia. Kwenye maelezo yangu nimeweka LINK zenye details zote kuhusu historia ya ZANZIBAR (Unguja). Je unaifahamu JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR NA PEMBA ya mwaka 1963? Muwe mnazidai zote 2 siyo kudai 1 tu.
 
Ndio muelekeo wa mada yako,nafikiri haujui ulichokiandaika kwenye headline yako

Naona ume-panic mkuu, toa jibu Je kwanini muingereza alitoa uhuru kwa nchi iliyojulikana kwa jina la JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR NA PEMBA? Hilo jina Zanzibar ni kisiwa kipi? Maana historia ipo wazi ZANZIBAR ni UNGUJA. PEMBA ni PEMBA haijawahi badili Jina.
 
Hahaha ina maana znz muliibadilisha jina lini kutoka jina la unguja?tarehe gani na mwaka gani?najua hauna jibu hapo.mm najua Unguja na Pemba ndio munaita znz.wacha ivi wazanzibar muna matatizo gani kwenye nafc zenu? Mnashindwa kupendana na kuheshimiana?namlilia sana Karume angelikuwepo ww leo usingeweza kutoa hoja yako ya kibaguzi.
 

Attachments

  • 1398055139253.jpg
    1398055139253.jpg
    19.4 KB · Views: 158
Back
Top Bottom