Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Na hiyo ruzuku ni kwa miezi mingapi. Na vipi mafuta ya taa na ndege.Nahisi ni kwa petrol na disel
Vipi kuhusu mafuta ya ndege, na ni kwa miezi mingapi hiyo ruzuku.Dizel na petrol coz ndo yanatumika sana na wananch kwa kias kikubwa
Hiyo itapigwa juu kwa juuHabari wakuu kuna hesabu za mafuta nafanya hapa ili nije na hesabu Kamili hapa jukwaani.
Ila kuna mahali nahitaji data kamili kupitia swali hili.
Swali: Ruzuku ya 100B iliyotolewa ni kwa mafuta yote? ama ni kwa petroli na dizeli tu? na je kwa miezi mingapi?
Mwenye majibu, tusaidie.
Mwezi wa 6Sikiliza hotuba ya waziri, nadhani alisema mwezi mmoja.
Ndio. Mwaka wa fedha unao anza mwezi wa saba wata kuja na long term solutionMwezi wa 6
ThubutuNdio. Mwaka wa fedha unao anza mwezi wa saba wata kuja na long term solution
okaySikiliza hotuba ya waziri, nadhani alisema mwezi mmoja.
Mmmmmmm kuliko petroli.Diesel kwa sababu ndio inatumiwa.na.wote