Swali: Umeme wa inverter na gharama zake

Swali: Umeme wa inverter na gharama zake

INNOMATIX

Senior Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
113
Reaction score
47
Wana jamvi salama?
Leo nakuja na swali ambalo nimelifikiria muda mrefu, mzee wangu aliwahi kutumia huu umeme wa inverter ambapo unachaji kupitia umeme wa TANESCO na kuiwasha unapokatika au kuitajika. Ulikuwa na uwezo wa kukaa masaa 12 huku ukiwasha kila kitu kabla ya kuisha, nilikuwa nahitaji uelewa wenu juu ya hii system na gharama zake kama nitahitaji kuitumia kwa kuchaji simu kadhaa,laptop na kuwasha tv tu.

Asanteni
 
siku hizi kuna kitu kinaitwa backup
 
Ni kweli ule ni umeme ila chanzo chake huwa 12v dc battery (ya gari) ambapo 12v hubadilishwa na kuwa 220 AC kwa kutumia transformer kubwa na power (transistor) husukwa na kuwa tayari kwa kutumia ila battery huchajiwa na tofauti inverter yenyewe hufanyakazi ya kubadilisha 12dcv kuwa AC (umeme wa nyumba) ila gharama inawezakuwa 70000 and above kama muhitaji conts: 0684908133.
 
Ni kweli ule ni umeme ila chanzo chake huwa 12v dc battery (ya gari) ambapo 12v hubadilishwa na kuwa 220 AC kwa kutumia transformer kubwa na power (transistor) husukwa na kuwa tayari kwa kutumia ila battery huchajiwa na tofauti inverter yenyewe hufanyakazi ya kubadilisha 12dcv kuwa AC (umeme wa nyumba) ila gharama inawezakuwa 70000 and above kama muhitaji conts: 0684908133.

Nitakuchek soon
 
Wana jamvi salama?leo nakuja na swali ambalo nimelifikiria muda mrefu...mzee wangu aliwahi kutumia huu umeme wa inverter ambapo unachaji kupitia umeme wa tanesco na kuiwasha unapokatika au kuitajika....ulikuwa na uwezo wa kukaa masaa 12 huku ukiwasha kila kitu kabla ya kuisha.....nilikuwa nahitaji uelewa wenu juu ya hii system na gharama zake kama nitahitaji kuitumia kwa kuchaji simu kadhaa,laptop na kuwasha tv tu.....
Asanteni

Inawezekana

Unachotakiwa hapo ni kuwa na Hivi vitu

Baterry (ukubwa itategemea na matumizi yako)


Inveter Charger ( Hii ni kwaajili Ya kucharge ile battery yako na Umeme wa Tanesco unapokata kubadiliaha umeme wa batery ambao ni DC kuwa AC

Change over Swich - Hii inatumika Kwenye umeme wa Tanesco unapokatika na unaporudi, Tanesco ikikata automatic hii ina washa inveter na kuendelea kutumia umeme wa Battery hapa hutahisi kama umeme umekatika.

Nadhani Utakuwa umenisoma kidogo.


Vitu vyote hivyo ukubwa/size Inategemea na Matumizi yako yaani Load Pamoja na Time.
 
Wana jamvi salama?leo nakuja na swali ambalo nimelifikiria muda mrefu...mzee wangu aliwahi kutumia huu umeme wa inverter ambapo unachaji kupitia umeme wa tanesco na kuiwasha unapokatika au kuitajika....ulikuwa na uwezo wa kukaa masaa 12 huku ukiwasha kila kitu kabla ya kuisha.....nilikuwa nahitaji uelewa wenu juu ya hii system na gharama zake kama nitahitaji kuitumia kwa kuchaji simu kadhaa,laptop na kuwasha tv tu.....
Asanteni

Ukipata mda njoo hapa Chloride exide shekilango road jengo la business park tuna office zetu hapa tunauza battery za solar original inverter zote kuanzia watts 10-300 pia panel zote kuanzia watts 10 kuendelea lakini pia nimeona unahitaji ushauri basi njoo tutakupa ushauri bure kabisa....ili kufika waweza piga namba hii 0788859535 nitakuelekeza....

Pia kama unatatizo la battery kwenye gari yako njoo tukupe ushauri kwani sisi ndo wakala mkuu na mtengenezaji wa battery za chloride exide na atlas...karibu sana..
 
Mimi natumia huu mfumo sasa initially I thought kutumia nyumba nzima ila battery ilikuwa inakata mapema natumia battery ya N 100 zipo mbili. Huwa natumia kwa incubator. Nikitumia kwa incubator na TV tu inawaka masaa 4. Inverter ina watt 500. Jumla nilitumia kama 900000 kuinstall. Still nahitaji kutumia kwa nyumba nzima for almost 12hrs. Still nahitaji wazoefu kwaajili ya kufanikisha hili
 
Uzi mtamu. Wataalam endeleeni kushusha nondo
 
Natumia Amplifaya ya ukubwa wa watt 3600 na volt 12 nanataka niitumie inveter kuwa iyo na tv je ninunue inverter ya ukubwa gan?
 
Back
Top Bottom