Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Hilo fungu ni kutoka TFF au serikalini?Nadhani kuna fungu
Kote koteHilo fungu ni kutoka TFF au serikalini?
Unaweza ukute akina Mwijaku wakalipwa posho huku wachezaji wakitakiwa kuonesha uzalendo.Je ni mshahara au per diem. Na je malipo ni flat rate au?
Ama ndio mambo ya uzalendo kujitolea?
Ila waziri anayesindikiza anakula per diem!ni mambo ya uzalendo tu hakuna pesa
Timu ya tff wao ndio walipajiHilo fungu ni kutoka TFF au serikalini?
Posho ipo mkuu wanalipwa na TFF miaka ya nyuma hakua inazidi elf 50 , sijui sasa ila wanalipwqKocha na wasaidizi wake walpwe alafu wachezaji wasilipwe kweli nadhan watakuwa wanalipwa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Perdiem national team hakuna mshahara maana mchezaji sio mwajiriwaJe ni mshahara au per diem. Na je malipo ni flat rate au?
Ama ndio mambo ya uzalendo kujitolea?
Kuna per diem lazima wapewe kwa kila siku wanayokua kwenye mtoko wa mechi so wanaweza lipwa kama lumpsum wakimaliza mizunguko yote. Bajeti inakuwepo TFF so serikali inatiririsha hela huko kwa ajili ya mambo kama hayo na zingine zinachangishwa na wadau wa michezo, sponsors wa timu ya taifa.Je ni mshahara au per diem. Na je malipo ni flat rate au?
Ama ndio mambo ya uzalendo kujitolea?
n mfumo tu huo🤣🤣Ila waziri anayesindikiza anakula per diem!
wanalipwa posho na bonus wakishindaJe ni mshahara au per diem. Na je malipo ni flat rate au?
Ama ndio mambo ya uzalendo kujitolea?