Swali wana Jamie F

Swali wana Jamie F

Welfare

Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
6
Reaction score
2
Kuna mtu anatatizo la kutokwa na vinyamanyama akitaka kunisaidia haja ndogo katumia dawa Sana kapima UTI lkn nothing tatizo inaweza kuwa nn naomba Msaada
 
Kuna mtu anatatizo la kutokwa na vinyamanyama akitaka kunisaidia haja ndogo katumia dawa Sana kapima UTI lkn nothing tatizo inaweza kuwa nn naomba Msaada

Elezea vizuri shida yako. Vinyama vikoje, ukijisaidia vinarefuka au vinatoa damu, vimeanza lini.... hadi sasa umetumia dawa gani na hali inaendeleaje.
Nakushangaa sana kwa kuficha haya maradhi, ndio maana umeshindwa kwenda hospital ukaeleza ukweli na kutibiwa...UTI na vinyama wapi na wapi.... endelea kuficha...vikizidi na kuvimba zaidi mwenyewe utasema.
 
Yy kwake iko hiv akibanwa haja ndogo wakati mwingine hivyo vinyamanyama Vina zina kwenyewe Mkojo unatokea Sasa anapata Maumivu makali kwa chini ya tumbo mpaka kilichoziba kivunjwe kivunjwe vunjwe kitoke kwanza nje ndo na Mkojo natoka
 
Yy kwake iko hiv akibanwa haja ndogo wakati mwingine hivyo vinyamanyama Vina zina kwenyewe Mkojo unatokea Sasa anapata Maumivu makali kwa chini ya tumbo mpaka kilichoziba kivunjwe kivunjwe vunjwe kitoke kwanza nje ndo na Mkojo natoka
Ugonjwa unaitwa bawasiri nenda CCBRT dar ukatolewe
 
Elezea vizuri shida yako. Vinyama vikoje, ukijisaidia vinarefuka au vinatoa damu, vimeanza lini.... hadi sasa umetumia dawa gani na hali inaendeleaje.
Nakushangaa sana kwa kuficha haya maradhi, ndio maana umeshindwa kwenda hospital ukaeleza ukweli na kutibiwa...UTI na vinyama wapi na wapi.... endelea kuficha...vikizidi na kuvimba zaidi mwenyewe utasema.
Yy kwake iko hiv akibanwa haja ndogo wakati mwingine hivyo vinyamanyama Vina zina kwenyewe Mkojo unatokea Sasa anapata Maumivu makali kwa chini ya tumbo mpaka kilichoziba kivunjwe kivunjwe vunjwe kitoke kwanza nje ndo na Mkojo unatoka
 
Kuwa muwazi usaidiwe mkuu. Acha kumsimgizia rafiki yako wakati tatizo ni lako.
 
Yy kwake iko hiv akibanwa haja ndogo wakati mwingine hivyo vinyamanyama Vina zina kwenyewe Mkojo unatokea Sasa anapata Maumivu makali kwa chini ya tumbo mpaka kilichoziba kivunjwe kivunjwe vunjwe kitoke kwanza nje ndo na Mkojo natoka

Yaani bado unaleta uongo
 
Yy kwake iko hiv akibanwa haja ndogo wakati mwingine hivyo vinyamanyama Vina zina kwenyewe Mkojo unatokea Sasa anapata Maumivu makali kwa chini ya tumbo mpaka kilichoziba kivunjwe kivunjwe vunjwe kitoke kwanza nje ndo na Mkojo natoka
mpe pole, nawewe uandishi wako huu mtu kukuelewa ni kazi..... sasa mshauri awahi hospitali (sio zahanati za vichochoroni) akajieleze kwa uwazi bila kuficha kitu maana hapa utaulizwa maswali utashindwa kujibu kwa kuwa wewe siye mwenye hilo tatizo..
 
mpe pole, nawewe uandishi wako huu mtu kukuelewa ni kazi..... sasa mshauri awahi hospitali (sio zahanati za vichochoroni) akajieleze kwa uwazi bila kuficha kitu maana hapa utaulizwa maswali utashindwa kujibu kwa kuwa wewe siye mwenye hilo tatizo..
OK [emoji106]
 
Back
Top Bottom